Uchambuzi: Simba imeumaliza mwendo CAF Champions League

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
16,243
25,069
Nafasi ya Simba kwenda Robo Fainali imeanza kuwa ngumu

“Nafasi ya Simba kwenda robo fainali imeanza kuwa ngumu zaidi. Simba wameambulia pointi mbili katika mechi zao mbili za mwanzo. Na sasa wana safari ya kukabiliana na Wydad pale Morocco. Mechi mbili zijazo watacheza na hawa jamaa wa Afrika Kaskazini wakianzia na pambano la ugenini ambalo litakuwa la machozi jasho na damu kwa wenyeji.

"Wydad wamepoteza mechi mbili. Moja nyumbani dhidi ya Jwaneng nyingine wamepoteza dhidi ya ASEC Mimosas. Pambano hili dhidi ya Simba watalitumia kwa kujaribu kuwafuta machozi mashabiki wao. Hawatataka kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, au mechi ya tatu mfululizo katika kundi. Simba wana kazi.

"Kama Simba wataweza kufanya vema katika mechi mbili zijazo dhidi ya Wydad, huku ASEC na Jwaneng wakipunguzana wenyewe kwa wenyewe inaweza kuwasaidia. Tatizo ni kwa Simba ipi? Hii ya Onana? Benchikha ana kazi kubwa ya kufanya. Tusubiri tuone.” Mchambuzi Edo Kumwembe.

Hatma ya Yanga bado, Yanga watashinda mechi ijayo.

1701526549797.jpg
 
Hiyo title nikajua ndani umeshusha sababu za kiufundi mujarabu kwa nini simba imeumaliza mwendo. Kumbe umeishia kutoa sababu za kihisia na kishabiki kama ilivo kawaida yako
Wydad wamepoteza mechi mbili. Moja nyumbani dhidi ya Jwaneng nyingine wamepoteza dhidi ya ASEC Mimosas. Pambano hili dhidi ya Simba watalitumia kwa kujaribu kuwafuta machozi mashabiki wao. Hawatataka kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, au mechi ya tatu mfululizo katika kundi.Simba wana kazi.

"Kama Simba wataweza kufanya vema katika mechi mbili zijazo dhidi ya Wydad, huku ASEC na Jwaneng wakipunguzana wenyewe kwa wenyewe inaweza kuwasaidia. Tatizo ni kwa Simba
 
Wydad wamepoteza mechi mbili. Moja nyumbani dhidi ya Jwaneng nyingine wamepoteza dhidi ya ASEC Mimosas. Pambano hili dhidi ya Simba watalitumia kwa kujaribu kuwafuta machozi mashabiki wao. Hawatataka kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, au mechi ya tatu mfululizo katika kundi.Simba wana kazi.

"Kama Simba wataweza kufanya vema katika mechi mbili zijazo dhidi ya Wydad, huku ASEC na Jwaneng wakipunguzana wenyewe kwa wenyewe inaweza kuwasaidia. Tatizo ni kwa Simba
Bado unaongea ushabiki. Nilifikiri ungetoa mapungufu ya Simba ambayo yangepelekea wydad kumtoa Simba. Wydad kupoteza mechi mbili mfulilizo haikuwa bahati mbaya na wala sio swala la yeye kupenda au kutokupenda kwake. Na hata kwenye mechi na simba Whydad inabidi ajipange kiufundi na mbinu za kushinda mechi zote mbili sio swala la eti hapendi kupoteza tena.
 
Bado unaongea ushabiki. Nilifikiri ungetoa mapungufu ya Simba ambayo yangepelekea wydad kumtoa Simba. Wydad kupoteza mechi mbili mfulilizo haikuwa bahati mbaya na wala sio swala la yeye kupenda au kutokupenda kwake. Na hata kwenye mechi na simba Whydad inabidi ajipange kiufundi na mbinu za kushinda mechi zote mbili sio swala la eti hapendi kupoteza tena.
Kiuwezp Simba bado ni underdog Kwa wydad
 
Kwa hiyo Wydad walipanga kupoteza mapambano mawili ili waje wawapoze mashabiki wao katika pambano la tatu?
Hata Simba alipopoteza 5..1 na Yanga ..... Ahmed ally alisema wataitumia mechi ya namungo Ili kuleta furaha Kwa mashabiki wake ( kolos) ....lkn wali draw


Je unadhani Simba walipoteza makusudically...mechi ya Yanga Ili waje warevenge Kwa namungo????
 
Bado unaongea ushabiki. Nilifikiri ungetoa mapungufu ya Simba ambayo yangepelekea wydad kumtoa Simba. Wydad kupoteza mechi mbili mfulilizo haikuwa bahati mbaya na wala sio swala la yeye kupenda au kutokupenda kwake. Na hata kwenye mechi na simba Whydad inabidi ajipange kiufundi na mbinu za kushinda mechi zote mbili sio swala la eti hapendi kupoteza tena.
Wydad ni wabovu kuliko simba msimu huu isee alafu asichokijua simba ni ngumu sana kuvungika ingawa wanawakati mgumu kwa sasa ila kufungwafungwa hovyo hakuna simba..
 
Nafasi ya Simba kwenda Robo Fainali imeanza kuwa ngumu

“Nafasi ya Simba kwenda robo fainali imeanza kuwa ngumu zaidi. Simba wameambulia pointi mbili katika mechi zao mbili za mwanzo. Na sasa wana safari ya kukabiliana na Wydad pale Morocco. Mechi mbili zijazo watacheza na hawa jamaa wa Afrika Kaskazini wakianzia na pambano la ugenini ambalo litakuwa la machozi jasho na damu kwa wenyeji.

"Wydad wamepoteza mechi mbili. Moja nyumbani dhidi ya Jwaneng nyingine wamepoteza dhidi ya ASEC Mimosas. Pambano hili dhidi ya Simba watalitumia kwa kujaribu kuwafuta machozi mashabiki wao. Hawatataka kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, au mechi ya tatu mfululizo katika kundi. Simba wana kazi.

"Kama Simba wataweza kufanya vema katika mechi mbili zijazo dhidi ya Wydad, huku ASEC na Jwaneng wakipunguzana wenyewe kwa wenyewe inaweza kuwasaidia. Tatizo ni kwa Simba ipi? Hii ya Onana? Benchikha ana kazi kubwa ya kufanya. Tusubiri tuone.” Mchambuzi Edo Kumwembe.

Hatma ya Yanga bado, Yanga watashinda mechi ijayo.

Edo unajichanganya sana
 
Yanga anachukua point zote 6 kwa Medeama. Sasa jumlisha na hiyo moja - kisha lete majibu.
Hivi unajua Simba akipata sare moja katika mechi mbili dhidi ya Wydad bado anakuwa na nafasi nzuri ya kufuzu wakati Yanga katika mechi mbili dhidi ya Medeama akitoka sare hata mechi moja nafasi yake ya kufuzu inakuwa finyu sana
 
Back
Top Bottom