Lazima uwamudu si wanasema eti wewe wao ni bwana zako....Hawa nawamudu mkuu....
Hicho kijamaa kinaipenda Simba sana 😅😅😅😅Lazima uwamudu si wanasema eti wewe wao ni bwana zako....
Yani 24 seven ni mada za Simba halafu hazina kichwa wala miguuu...ngoja tumkere... 😀 😀 😀 😀 😀 😀Hicho kijamaa kinaipenda Simba sana 😅😅😅😅
Hiviii, huko aliko huyu Labani og ,huwa nako wanatoa kitu kama kule kwa MATAGA (zile BUKU 7/7), kila aiandikapo Simba? Maanake, naona hana kazi, zaidi ya kuiandika Simba tu.Wakija wakakwambia Simba ni Bwana ako utakasirika?
DuuuuhHiviii, huko aliko huyu Labani og ,huwa nako wanatoa kitu kama kule kwa MATAGA (zile BUKU 7/7), kila aiandikapo Simba? Maanake, naona hana kazi, zaidi ya kuiandika Simba tu.
Kwa uchache, ndani ya siku chache kisha ianzishia Simba thread zifuatazo: -
14/8/2023
Kwa timu hii, Simba haitoboi Super League
24/8/2023
Bin Kazumari: Simba wascreeshoot msimamo wa ligue.
3/9/2023
Ushauri: Simba wagomee mechi na Al Ahly
5/9/2023
Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga.
9/9/2023
Simba iombeni radhi Ngome FC
15/9/2023
Uchambuzi: Simba atapigwa 3-0 na Power Dynamo
17/9/2023
Simba angekandwa vibaya na Al Mereikh
21/9/2023
Utabiri wa leo: Simba 0:2 Coastal Union
21/9/2023
Mchambuzi: Simba bado wanacheza mpira wa ovyo.
22/9/2023
Eddo Kumwembe: Kinachowatesa Simba ni hiki hapa
30/9/2023
Simba ikimfunga Power Dynamol mje mnipige vibao
1/10/2023
Utabiri wa leo: Simba 0:2 Power Dynamol
1/10/2023
Mpaka sasa kila timu inaomba ipangiwe na Simba
2/10/2023
Simba angekandwa ngapi angecheza na Future FC
9/10/2023
Wana Simba tuombe referees wa Kibongo wakachezeshe CAF Champions
3D
Je wajua: Simba ndiyo timu inayoongoza kupokea vichapo vizito E.A
2D
Uchambuzi: Kwa nini Simba ni ngumu kutoboa kwa waarabu
--
Tuache utani Simba kushinda kwa Al Ahly haiwezekani
Mkuu, ni uongooo?Duuuuh
Simba walikaa miaka 15 wakaangia makundi baada ya kupata muwekezaji the same to YANGATimu yako ya yanga ndio kwanza juzi hapa imefanikiwa kuingia hatua ya makundi baada ya miaka 25 unalitambua hilo .
Sawa mamaUchambuzi wangu
Linapokuja suala la kucheza na waarabu ndugu zangu Wana msimbazi hata wawe vizuri vipi wakiwaona tu waarabu.....ndugu zangu ayubu fc wanapoteana uwanjani.....ukileta mechi ambayo Simba amewahi watwanga waarabu ( achana na kina horoya fc, vipers....hawa sio waarabu nami nitakupa mwaka ambao taifa stars itashinda world cup
Hizi ni baadhi ya sababu za Simba kuonewa na waarabu
1.Inferiority complex ya wachezaji wa makolo,.....wakiona tu waarabu inakua sawa na student kumuona mwalimu wake wa mathe...... tofauti na Yanga ambao wanawatwanga waarabu kwao
2. wachezaji wabovu, imagine una wachezaji kina baleke na saido ....pamoja na kuwa top scorer lakini hakuwa na goal hata la off-side kule mjini CAF......ila wakikutana na kina majimaji, horoya, vipers wanageuka kuwa kina Messi
Point of reference
Yanga wenzetu wanawatwanga waarabu Hadi kwao .....kwanini isiwe kwetu sisi ayubu fc View attachment 2779684
Ni deiwaka hapo club ya madimbwini...Hiviii, huko aliko huyu Labani og ,huwa nako wanatoa kitu kama kule kwa MATAGA (zile BUKU 7/7), kila aiandikapo Simba? Maanake, naona hana kazi, zaidi ya kuiandika Simba tu.
Kwa uchache, ndani ya siku chache kisha ianzishia Simba thread zifuatazo: -
14/8/2023
Kwa timu hii, Simba haitoboi Super League
24/8/2023
Bin Kazumari: Simba wascreeshoot msimamo wa ligue.
3/9/2023
Ushauri: Simba wagomee mechi na Al Ahly
5/9/2023
Simba kumfunga Al Ahly wanapaswa kuwa na kikosi cha Yanga.
9/9/2023
Simba iombeni radhi Ngome FC
15/9/2023
Uchambuzi: Simba atapigwa 3-0 na Power Dynamo
17/9/2023
Simba angekandwa vibaya na Al Mereikh
21/9/2023
Utabiri wa leo: Simba 0:2 Coastal Union
21/9/2023
Mchambuzi: Simba bado wanacheza mpira wa ovyo.
22/9/2023
Eddo Kumwembe: Kinachowatesa Simba ni hiki hapa
30/9/2023
Simba ikimfunga Power Dynamol mje mnipige vibao
1/10/2023
Utabiri wa leo: Simba 0:2 Power Dynamol
1/10/2023
Mpaka sasa kila timu inaomba ipangiwe na Simba
2/10/2023
Simba angekandwa ngapi angecheza na Future FC
9/10/2023
Wana Simba tuombe referees wa Kibongo wakachezeshe CAF Champions
3D
Je wajua: Simba ndiyo timu inayoongoza kupokea vichapo vizito E.A
2D
Uchambuzi: Kwa nini Simba ni ngumu kutoboa kwa waarabu
--
Tuache utani Simba kushinda kwa Al Ahly haiwezekani