Uchambuzi: Je, ni kweli kuwa mifumo ya ulinzi wa anga la Ukraine bado inafanya kazi?

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,920
15,611
Jeshi la anga la Ukraine hapo kabla ya kuanza kwa vita liliripotiwa kuwa na mifumo mingi anuai ya ulinzi wa anga lake, ambayo ni:
  1. Pisi 250 za S-300 air-defense systems ambazo ni aina za S-300P, S-300PS na S-300PT. Hizi zote zinaweza kurusha makombora (SAM) ya masafa marefu ktk kulilinda anga
  2. Takribani pisi 72 za Buk-M1 systems ambazo hutoa makombora (SAM) ya masafa mafupi
  3. Pisi kadhaa za S-125 Pechora systems ambazo hurusha makombora (SAM) ya masafa mafupi
Kuhusu ndege za kivita, Ukraine walikuwa nazo ndege 125 zenye uwezo wa kupigana, ambazo ni pamoja na:
  1. Pisi 37 za Mikoyan MiG-29
  2. Pisi 34 za Sukhoi Su-27
  3. Pisi 14 za Sukhoi Su-24M bombers
  4. Pisi 31 za Sukhoi Su-24 close air support aircraft
Vifaa hivyo kama vingekuwepo hadi sasa kwa idadi hizo tajwa vikifanya kazi zake, vingeweza kulilinda anga ipasavyo na:
  1. Tusingesikia ripoti nyingi za kushambuliwa na kuangamizwa kwa ngome za kijeshi, maghala/bohari za silaha, kambi za kijeshi, viwanda vya kijeshi, karakana za kijeshi wala majengo mbalimbali ktk mikoa/miji yoote ikiwemo Kyiv.
  2. Tusingemuona na kumsikia Zelensky akimpigia magoti Biden ampe pisi moja ya S-300 (wakati Ukraine inazo pisi 250 za S-300)
  3. Tusingesikia Zelensky akiziomba nchi za magharibi zisaidie kuikinga Ukraine na mashambulizi ya angani ya kila kukicha ya ndegevita za Russia (kuseti No-fly zone).
  4. Tusingemsikia Zelensky akililia apewe msaada wa pisi moja ya air defense system toka Israel
  5. Pia pengine tusingemsikia Zelensky akiomba pisi chache za ndegvita za kisovieti za MiG-29 toka NATO/Poland (wakati tayari anazo ndege za aina hiyo pisi 37)
Sasa kwanini hayo mambo matano yanatokea kama kweli vifaa na mitambo ya jeshi la anga la Ukraine (tulivyovitaja hapo mwanzo) vipo salama na vinaendelea kuhudumu kazi zake?

Sababu ni kuwa sasa hivi anga la Ukraine lipo uchi (halina ulinzi) na hivyo ndege za Russia zinajimwaga zipendavyo na popote pale zashambulia. Kwa maneno mengine ni kuwa ndege za Russia hazipati upinzani kwenye anga la Ukraine. Mnamo March 9, Russia iliripoti kuwa, kwa kutumia makombora ya shabaha kali zaidi ilikuwa tayari imeishashambulia na kuangamiza pisi 137 za S-300, Buk-M1 na S-125, ambapo kwa mujibu wa Russia hiyo ni sawa na zaidi ya asilimia 90 ya nguvu za ulinzi wa anga (makombora ya masafa marefu na mafupi) wa keshi la Ukraine.

Pia Russia ilisema kuwa iliharibu vituo 81 vya rada za Ukraine, na hivyo Ukraine kupoteza uwezo wa kukontol mapambano ya angani ya ndege zake na pia mifumo yake ya ulinzi wa anga.

Maelezo hayo ya Russia yanasapotiwa na maombi ya mara kwa mara ya Zelensky juu ya Marekani na nchi mbalimbali za NATO kusaidia kuzuia mashambulizi ya anga ya Russia, ikiwemo kuomba pisi moja S-300, na ndegevita nyinginezo.

Cc: T14 Armata, Mwanamkiwi

==========

Screenshot_20220321-065110_Chrome.jpg
Screenshot_20220321-065405_Chrome.jpg

SmartSelect_20220321-064130_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-064250_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-064334_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-064608_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-065602_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-065812_Chrome.jpg
SmartSelect_20220321-065837_Chrome.jpg


SmartSelect_20220321-111626_Chrome.jpg

Screenshot_20220321-063100_Chrome.jpg
Screenshot_20220321-063352_Chrome.jpg
 
Kwani ilikuaje hadi hivyo vyote vikaharibiwa? Kabla Urusi haijaingia Ukraine si walitoa taarifa kabisa?
 
Kwani ilikuaje hadi hivyo vyote vikaharibiwa? Kabla Urusi haijaingia Ukraine si walitoa taarifa kabisa?
Ile mziki wa awali haukuwa wa kitoto!! Mashambulizi ya mwanzo ndiyo yaliyoharibu ulinxi wa anga wa Ukraine!
Kila siku Marekani na Uingereza hujinadi kuwa Urusi imeshindwa kulitawala anga la Ukraine, na Urusi haijibu kwa maneno Bali kwa vitendo!!
Ile Kambi ya mafunzo ya kijeshi karibu na mpaka wa Poland ilishambuliwa na makombora yaliyorushwa na ndege!! Kila siku ndege zinashambulia? Zingekuwa hazishambulii Ile no fly zone inaliliwa Kila siku ya Nini?
 
Ile mziki wa awali haukuwa wa kitoto!! Mashambulizi ya mwanzo ndiyo yaliyoharibu ulinzi wa anga wa Ukraine!
Kila siku Marekani na Uingereza hujinadi kuwa Urusi imeshindwa kulitawala anga la Ukraine, na Urusi haijibu kwa maneno Bali kwa vitendo!!
Ile Kambi ya mafunzo ya kijeshi karibu na mpaka wa Poland ilishambuliwa na makombora yaliyorushwa na ndege!! Kila siku ndege zinashambulia? Zingekuwa hazishambulii Ile no fly zone inaliliwa Kila siku ya Nini?
Ndio Mkuu...Na ndio maana utaona Russia baada ya kuripoti tarehe 9 March kuwa wamearibu mifumo ya ulinzi ya anga la Ukraine kwa zaidi ya 90% ikiwemo pisi kibao za S-300, ilipofika 12 March Marekani na NATO wakapeleka msaada wa makombora ya kubebelea mabegani ya kusaidia kulilinda anga la Ukraine, yale wanayoyaita MANPADS (man-portable air defence systems).

========

Screenshot_20220321-105157_Chrome.jpg
 
Jeshi la anga la Ukraine hapo kabla ya kuanza kwa vita liliripotiwa kuwa na mifumo mingi anuai ya ulinzi wa anga lake, ambayo ni:
  1. Pisi 250 za S-300 air-defense systems ambazo ni aina za S-300P, S-300PS na S-300PT. Hizi zote zinaweza kurusha makombora (SAM) ya masafa marefu ktk kulilinda anga
  2. Takribani pisi 72 za Buk-M1 systems ambazo hutoa makombora (SAM) ya masafa mafupi
  3. Pisi kadhaa za S-125 Pechora systems ambazo hurusha makombora (SAM) ya masafa mafupi
Kuhusu ndege za kivita, Ukraine walikuwa nazo ndege 125 zenye uwezo wa kupigana, ambazo ni pamoja na:
  1. Pisi 37 za Mikoyan MiG-29
  2. Pisi 34 za Sukhoi Su-27
  3. Pisi 14 za Sukhoi Su-24M bombers
  4. Pisi 31 za Sukhoi Su-24 close air support aircraft
Vifaa hivyo kama vingekuwepo hadi sasa kwa idadi hizo tajwa vikifanya kazi zake, vingeweza kulilinda anga ipasavyo na:
  1. Tusingesikia ripoti nyingi za kushambuliwa na kuangamizwa kwa ngome za kijeshi, maghala/bohari za silaha, kambi za kijeshi, viwanda vya kijeshi, karakana za kijeshi wala majengo mbalimbali ktk mikoa/miji yoote ikiwemo Kyiv.
  2. Tusingemuona na kumsikia Zelensky akimpigia magoti Biden ampe pisi moja ya S-300 (wakati Ukraine inazo pisi 250 za S-300)
  3. Tusingesikia Zelensky akiziomba nchi za magharibi zisaidie kuikinga Ukraine na mashambulizi ya angani ya kila kukicha ya ndegevita za Russia (kuseti No-fly zone).
  4. Tusingemsikia Zelensky akililia apewe msaada wa pisi moja ya air defense system toka Israel
  5. Pia pengine tusingemsikia Zelensky akiomba pisi chache za ndegvita za kisovieti za MiG-29 toka NATO/Poland (wakati tayari anazo ndege za aina hiyo pisi 37)
Sasa kwanini hayo mambo matano yanatokea kama kweli vifaa na mitambo ya jeshi la anga la Ukraine (tulivyovitaja hapo mwanzo) vipo salama na vinaendelea kuhudumu kazi zake?

Sababu ni kuwa sasa hivi anga la Ukraine lipo uchi (halina ulinzi) na hivyo ndege za Russia zinajimwaga zipendavyo na popote pale zashambulia. Kwa maneno mengine ni kuwa ndege za Russia hazipati upinzani kwenye anga la Ukraine. Mnamo March 9, Russia iliripoti kuwa, kwa kutumia makombora ya shabaha kali zaidi ilikuwa tayari imeishashambulia na kuangamiza pisi 137 za S-300, Buk-M1 na S-125, ambapo kwa mujibu wa Russia hiyo ni sawa na zaidi ya asilimia 90 ya nguvu za ulinzi wa anga (makombora ya masafa marefu na mafupi) wa keshi la Ukraine.

Pia Russia ilisema kuwa iliharibu vituo 81 vya rada za Ukraine, na hivyo Ukraine kupoteza uwezo wa kukontol mapambano ya angani ya ndege zake na pia mifumo yake ya ulinzi wa anga.

Maelezo hayo ya Russia yanasapotiwa na maombi ya mara kwa mara ya Zelensky juu ya Marekani na nchi mbalimbali za NATO kusaidia kuzuia mashambulizi ya anga ya Russia, ikiwemo kuomba pisi moja S-300, na ndegevita nyinginezo.

Cc: T14 Armata, Mwanamkiwi

==========

View attachment 2158861View attachment 2158860
View attachment 2158956View attachment 2158957View attachment 2158958View attachment 2158959View attachment 2158960View attachment 2158961View attachment 2158962

View attachment 2159044
View attachment 2158965View attachment 2158966
Umechambua kama uko Ukraine au upo kwenye jeshi la Ukraine....punguza habar za kwenye kahawa...una unalolijua waachie wenyewe ndo wanajua hiv Kwa akili zako ndogo ingekuwa kweli unavyowaza toka vita ianze leo ina siku ya ngapi.... Russia bado anaiota Kyiv hajaweza kuingia unajua sababu ni nini mpaka leo Russia anaangaika?
 
Umechambua kama uko Ukraine au upo kwenye jeshi la Ukraine....punguza habar za kwenye kahawa...una unalolijua waachie wenyewe ndo wanajua hiv Kwa akili zako ndogo ingekuwa kweli unavyowaza toka vita ianze leo ina siku ya ngapi.... Russia bado anaiota Kyiv hajaweza kuingia unajua sababu ni nini mpaka leo Russia anaangaika?
Tupe sababu msemaji wa zelensk
 
Umechambua kama uko Ukraine au upo kwenye jeshi la Ukraine....punguza habar za kwenye kahawa...una unalolijua waachie wenyewe ndo wanajua hiv Kwa akili zako ndogo ingekuwa kweli unavyowaza toka vita ianze leo ina siku ya ngapi.... Russia bado anaiota Kyiv hajaweza kuingia unajua sababu ni nini mpaka leo Russia anaangaika?
We utakuwa hujui kazi ya mifumo ya ulinzi wa anga...

Nchi ina pisi 250 za S-300 kisha ngome na kambi zake za kijeshi mikoa yote na miji yote inashinda inalipuliwa alafu useme mifumo yafanya kazi!

Kisha analilia lia apewe pisi moja ya S-300! Hizo pisi 250 za mwazo kazipeleka wapi?

Majengo mbali mbali yanaangamizwa kwenye miji yoote halafu useme mifumo ipo!

Russia alifanya kazi nzuri sana, alishachengua changua zaidi ya asilimia 90 za nguvu za jeshi la anga la Ukraine

SmartSelect_20220322-202244_Chrome.jpg
SmartSelect_20220322-202226_Chrome.jpg
SmartSelect_20220322-202201_Chrome.jpg
SmartSelect_20220322-202127_Chrome.jpg
 
Russia ichakaza sana hiyo mifumo siku za mwanzo kabisa wakati US na ulaya wanapiga propaganda kua Russia kazidiwa ila sasa wanalialia eti anataka kutumia silaha za sumu.

Ukwelihata wapeleke hizo air defence hazitafua dafu maana kila kitu kimechakazwa
 
Jeshi la anga la Ukraine hapo kabla ya kuanza kwa vita liliripotiwa kuwa na mifumo mingi anuai ya ulinzi wa anga lake, ambayo ni:
  1. Pisi 250 za S-300 air-defense systems ambazo ni aina za S-300P, S-300PS na S-300PT. Hizi zote zinaweza kurusha makombora (SAM) ya masafa marefu ktk kulilinda anga
  2. Takribani pisi 72 za Buk-M1 systems ambazo hutoa makombora (SAM) ya masafa mafupi
  3. Pisi kadhaa za S-125 Pechora systems ambazo hurusha makombora (SAM) ya masafa mafupi
Kuhusu ndege za kivita, Ukraine walikuwa nazo ndege 125 zenye uwezo wa kupigana, ambazo ni pamoja na:
  1. Pisi 37 za Mikoyan MiG-29
  2. Pisi 34 za Sukhoi Su-27
  3. Pisi 14 za Sukhoi Su-24M bombers
  4. Pisi 31 za Sukhoi Su-24 close air support aircraft
Vifaa hivyo kama vingekuwepo hadi sasa kwa idadi hizo tajwa vikifanya kazi zake, vingeweza kulilinda anga ipasavyo na:
  1. Tusingesikia ripoti nyingi za kushambuliwa na kuangamizwa kwa ngome za kijeshi, maghala/bohari za silaha, kambi za kijeshi, viwanda vya kijeshi, karakana za kijeshi wala majengo mbalimbali ktk mikoa/miji yoote ikiwemo Kyiv.
  2. Tusingemuona na kumsikia Zelensky akimpigia magoti Biden ampe pisi moja ya S-300 (wakati Ukraine inazo pisi 250 za S-300)
  3. Tusingesikia Zelensky akiziomba nchi za magharibi zisaidie kuikinga Ukraine na mashambulizi ya angani ya kila kukicha ya ndegevita za Russia (kuseti No-fly zone).
  4. Tusingemsikia Zelensky akililia apewe msaada wa pisi moja ya air defense system toka Israel
  5. Pia pengine tusingemsikia Zelensky akiomba pisi chache za ndegvita za kisovieti za MiG-29 toka NATO/Poland (wakati tayari anazo ndege za aina hiyo pisi 37)
Sasa kwanini hayo mambo matano yanatokea kama kweli vifaa na mitambo ya jeshi la anga la Ukraine (tulivyovitaja hapo mwanzo) vipo salama na vinaendelea kuhudumu kazi zake?

Sababu ni kuwa sasa hivi anga la Ukraine lipo uchi (halina ulinzi) na hivyo ndege za Russia zinajimwaga zipendavyo na popote pale zashambulia. Kwa maneno mengine ni kuwa ndege za Russia hazipati upinzani kwenye anga la Ukraine. Mnamo March 9, Russia iliripoti kuwa, kwa kutumia makombora ya shabaha kali zaidi ilikuwa tayari imeishashambulia na kuangamiza pisi 137 za S-300, Buk-M1 na S-125, ambapo kwa mujibu wa Russia hiyo ni sawa na zaidi ya asilimia 90 ya nguvu za ulinzi wa anga (makombora ya masafa marefu na mafupi) wa keshi la Ukraine.

Pia Russia ilisema kuwa iliharibu vituo 81 vya rada za Ukraine, na hivyo Ukraine kupoteza uwezo wa kukontol mapambano ya angani ya ndege zake na pia mifumo yake ya ulinzi wa anga.

Maelezo hayo ya Russia yanasapotiwa na maombi ya mara kwa mara ya Zelensky juu ya Marekani na nchi mbalimbali za NATO kusaidia kuzuia mashambulizi ya anga ya Russia, ikiwemo kuomba pisi moja S-300, na ndegevita nyinginezo.

Cc: T14 Armata, Mwanamkiwi

==========

View attachment 2158861View attachment 2158860
View attachment 2158956View attachment 2158957View attachment 2158958View attachment 2158959View attachment 2158960View attachment 2158961View attachment 2158962

View attachment 2159044
View attachment 2158965View attachment 2158966
waUkraine wa buza njooni huku muthibitishe hizi taarifa🤔
 
Hivi kama anga lote liko uchi kwanini hadondoshi bomu pale ikulu?
 
Mtoa mada Vita haviko hivyo, mtu anaweza kuwa na rungu akapigana na mwenye smg miaka 10 bila mshindi kupatikana.
Hakuna nchi duniani inayotoa idadi kamili ya silahaa zake, zote unazozisoma ni Kanyaboya tu.
 
Hivi kama anga lote liko uchi kwanini hadondoshi bomu pale ikulu?
walishasema kwamba uwezo huo wanao na wakifanya hakuna wakiwafanya chochote ila sio malengo yao kumuua zelenski sababu historia itakuja kuwahukumu kuhusiana na hilo nawakatolea mfano wahistoria inavyoihukumu US juu yakumuua Saddam Hussein
ila hapa juzi ama jana wametoa taarifa rasmi endapo watashambuliwa ndani ya mipaka yao ya RUSSIA watashambulia sehem zote zinazofanyiwa ama kutoa maamuzi ndani ya mji MKUU wa KIEV nahisi hata hio IKULU inaweza ikawa miongoni mwa target
RUSSIA kama angeamua kumpelekea moto yule jama pale IKULU asingeshindwa nauwezo anao
 
walishasema kwamba uwezo huo wanao na wakifanya hakuna wakiwafanya chochote ila sio malengo yao kumuua zelenski sababu historia itakuja kuwahukumu kuhusiana na hilo nawakatolea mfano wahistoria inavyoihukumu US juu yakumuua Saddam Hussein
ila hapa juzi ama jana wametoa taarifa rasmi endapo watashambuliwa ndani ya mipaka yao ya RUSSIA watashambulia sehem zote zinazofanyiwa ama kutoa maamuzi ndani ya mji MKUU wa KIEV nahisi hata hio IKULU inaweza ikawa miongoni mwa target
RUSSIA kama angeamua kumpelekea moto yule jama pale IKULU asingeshindwa nauwezo anao
Teh teh teh sema huo uwezo hawana maana hata ndege vita za Russia zinaogopa kukanyaga Kyiv,ile meli mliyokuwa mnaitegemea kuvurumisha missile ishazamishwa.
 
Jeshi la anga la Ukraine hapo kabla ya kuanza kwa vita liliripotiwa kuwa na mifumo mingi anuai ya ulinzi wa anga lake, ambayo ni:
  1. Pisi 250 za S-300 air-defense systems ambazo ni aina za S-300P, S-300PS na S-300PT. Hizi zote zinaweza kurusha makombora (SAM) ya masafa marefu ktk kulilinda anga
  2. Takribani pisi 72 za Buk-M1 systems ambazo hutoa makombora (SAM) ya masafa mafupi
  3. Pisi kadhaa za S-125 Pechora systems ambazo hurusha makombora (SAM) ya masafa mafupi
Kuhusu ndege za kivita, Ukraine walikuwa nazo ndege 125 zenye uwezo wa kupigana, ambazo ni pamoja na:
  1. Pisi 37 za Mikoyan MiG-29
  2. Pisi 34 za Sukhoi Su-27
  3. Pisi 14 za Sukhoi Su-24M bombers
  4. Pisi 31 za Sukhoi Su-24 close air support aircraft
Vifaa hivyo kama vingekuwepo hadi sasa kwa idadi hizo tajwa vikifanya kazi zake, vingeweza kulilinda anga ipasavyo na:
  1. Tusingesikia ripoti nyingi za kushambuliwa na kuangamizwa kwa ngome za kijeshi, maghala/bohari za silaha, kambi za kijeshi, viwanda vya kijeshi, karakana za kijeshi wala majengo mbalimbali ktk mikoa/miji yoote ikiwemo Kyiv.
  2. Tusingemuona na kumsikia Zelensky akimpigia magoti Biden ampe pisi moja ya S-300 (wakati Ukraine inazo pisi 250 za S-300)
  3. Tusingesikia Zelensky akiziomba nchi za magharibi zisaidie kuikinga Ukraine na mashambulizi ya angani ya kila kukicha ya ndegevita za Russia (kuseti No-fly zone).
  4. Tusingemsikia Zelensky akililia apewe msaada wa pisi moja ya air defense system toka Israel
  5. Pia pengine tusingemsikia Zelensky akiomba pisi chache za ndegvita za kisovieti za MiG-29 toka NATO/Poland (wakati tayari anazo ndege za aina hiyo pisi 37)
Sasa kwanini hayo mambo matano yanatokea kama kweli vifaa na mitambo ya jeshi la anga la Ukraine (tulivyovitaja hapo mwanzo) vipo salama na vinaendelea kuhudumu kazi zake?

Sababu ni kuwa sasa hivi anga la Ukraine lipo uchi (halina ulinzi) na hivyo ndege za Russia zinajimwaga zipendavyo na popote pale zashambulia. Kwa maneno mengine ni kuwa ndege za Russia hazipati upinzani kwenye anga la Ukraine. Mnamo March 9, Russia iliripoti kuwa, kwa kutumia makombora ya shabaha kali zaidi ilikuwa tayari imeishashambulia na kuangamiza pisi 137 za S-300, Buk-M1 na S-125, ambapo kwa mujibu wa Russia hiyo ni sawa na zaidi ya asilimia 90 ya nguvu za ulinzi wa anga (makombora ya masafa marefu na mafupi) wa keshi la Ukraine.

Pia Russia ilisema kuwa iliharibu vituo 81 vya rada za Ukraine, na hivyo Ukraine kupoteza uwezo wa kukontol mapambano ya angani ya ndege zake na pia mifumo yake ya ulinzi wa anga.

Maelezo hayo ya Russia yanasapotiwa na maombi ya mara kwa mara ya Zelensky juu ya Marekani na nchi mbalimbali za NATO kusaidia kuzuia mashambulizi ya anga ya Russia, ikiwemo kuomba pisi moja S-300, na ndegevita nyinginezo.

Cc: T14 Armata, Mwanamkiwi

==========

View attachment 2158861View attachment 2158860
View attachment 2158956View attachment 2158957View attachment 2158958View attachment 2158959View attachment 2158960View attachment 2158961View attachment 2158962

View attachment 2159044
View attachment 2158965View attachment 2158966
Mimi sijui unaelewaje kaka kuhusu hizo SAM systems. Labda nikuambie tu hakuna SAM yenye uwezo wa kudhibiti makombora au ndege/drone 100% duniani. Nadhani kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo utakua umeona mara ngapi Israeli inaharibu mifumo ya kulinda anga ya Syria ambayo nayo ni ya mrusi.
Cha kujua tu ni kwamba hakuna SAM itakayolinda sehem 100%. Hata S-400 na s-500 SAM ina limit ya targets inayoweza kukabiliana nazo kwa wakati mmoja nadhani 100, kwahiyo yakirushwa makombora 100 kwa ajili ya kuharibu SAM na interception rate yake ni 83% bado makombora 17 yataziharbu.
Kwa Ukraine bado sehem nyingi wana ulinzi wa SAM japo nyingi zimeharibiwa(ambacho sio kitu cha kushangaza sana kwenye vita). Urusi inatumia makombora ya mbali kwa sababu haiwezi kutumia ndege zake kwa uhuru Ukraine bado. Na siku russia wanacontrol anga la ukraine 100% vita itakua imeisha hapo.
 
Back
Top Bottom