Sote tunakumbuka jinsi Maalin Seif alivyoshinda Zanzibar na Lyatonga alivyoshinda Dar lakini kwa ruksa ya Nyerere Serikali ya Mzee Mwinji ilichakachua matokeo.
Pia Majaji makini walirule ya kuwa matokeo ya raisi yawe challenged mahakamani lakini serikali ikapeleka mswada harakaharaka bungeni na kupitisha sheria ili yasihojiwe kama ilivyo sasa. Yote haya Mwalimu aliyabariki kwa maana ya kuwahakuyakemea.
http://www.mwananchi.co.tz/mwananchi-jumapili/40-habari-mwananchi-jumapili/7977-serikali-ilichakachua-ushauri-wa-jaji-mkuu
Kwa maana hii, mimi naona JK kuchakachua matokeo ya Dr Slaa ni mwendelezo wa aliyoyaasisi Mwalimu!
Wanajamvi mnasemaje kuhusu hili?:angry:
Pia Majaji makini walirule ya kuwa matokeo ya raisi yawe challenged mahakamani lakini serikali ikapeleka mswada harakaharaka bungeni na kupitisha sheria ili yasihojiwe kama ilivyo sasa. Yote haya Mwalimu aliyabariki kwa maana ya kuwahakuyakemea.
http://www.mwananchi.co.tz/mwananchi-jumapili/40-habari-mwananchi-jumapili/7977-serikali-ilichakachua-ushauri-wa-jaji-mkuu
Kwa maana hii, mimi naona JK kuchakachua matokeo ya Dr Slaa ni mwendelezo wa aliyoyaasisi Mwalimu!
Wanajamvi mnasemaje kuhusu hili?:angry: