ndugu zangu wa tanzania mnalichukuliaje swala la tbc taifa kuwakatia chadema matangazo?
binafsi nilidhani wangekua waungwana na kuhakikisha kuwa wanavitendea vyama vyote sawa
je hii sio matumizi mabaya ya madalaka?
je wataweza kutushawishi watanzania tukawaelewa?
Binafsi ni mpenzi sana tena sana wa CHADEMA...Kiukweli kuna maneno ambayo waliyaongea si mazuri but katika swala zima la kuwakatishia matangazo mimi siliafiki,lakini pia inategemea na mkataba waliowekeana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.