christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,464
- 1,463
Hili jingine limekaakaa kama agent wa ssm
Hakuna kama LisuUchaguzi wa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) ni tarehe 17.03.2017 jijini Arusha, mchuano mkali ni kati ya wakili mbobezi na msomi TUNDU ANTIPHAS MUGHWAI LISSU, dhidi ya wakili mbobezi FRANCIS STOLLA.
Unadhani kura yako ina mfaa nani kati ya hawa??
A. Tundu Lissu.
B. Francis Stolla.
View attachment 471395