Ni hali ambayo imemuacha kila mtu domo likiwa wazi baada ya kugundua kwamba CCM ilipandikiza wagombea wake 4 ambao katika hao wawili ndio wamefanikiwa kupitishwa na screening commette ambayo nayo haikua ikiaminiwa kbs na wanachuo kwani nayo iliaminika kuwekwa kwa makusudi ya kuhakiki CCM INAMUWEKA RAIS