uchaguzi wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa m/kiti wa chadema mkoa wa mbeya sambwee shitambalala(gamba jipya) unafanyika tarehe 20/06/2011.hivyo wawakilishi wetu kwenye uchaguzi tunaomba msirudie kosa mchagueni mtu ambaye ni 1.muadilifu 2.mwenye uzalendo kwa chama 3. mtu ambaye hataleta mgawanyiko katika chama 4.mtu ambaye anaweza kuunganisha mabaraza yote ktk mkoa 5.mtu mwenye maono 6,mtu anayezingatia haki za kila mwanachama 7. awe na busara 8.na zaidi asiwe kibaraka wamagamba(ccm).Hivyo basi mtu yeyote mwenye cv za wagombea wetu tunaomba kwa mara nyingine atuwekee jamvini ili tuanze kuwachuja humuhumu kabla hawajatuharibia mambo.Tunawatakia maamuzi mema mnaoenda kuchagua viongozi. ONYO:Rushwa ni adui wa haki hivyo haki itendeke!!!!!!. Nawasilisha.