Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 393
Uzuri wa chaguzi za ndani CHADEMA washindi wanafahamika. Huwa zinafanyika kukamilisha utaratibu tu.
Na zenu za kiccm ni bahasha na vimemo kwa kwenda mbele
Uzuri wa chaguzi za ndani CHADEMA washindi wanafahamika. Huwa zinafanyika kukamilisha utaratibu tu.
viva chadema. Democrasia itachukua mkondo wake daima.peoples!!!!we wasome tu wanavyoweweseka!!
Nchi gani? Kama ni Tanzania wananchi hatuko tayari kuongozwa na wahuni.
Mkuu mungi,Mkuu karatu bado. Leo ni Mbulu
Uchaguzi utasimamiwa na uongozi wa kanda ya kaskazini, chini ya kamanda Amani Golugwa mratibu wa kanda
Hivi Mbulu hakuna Waislam jamani, Chadema hivi Waislam waliwakosea nini.
Hivi Mbulu hakuna Waislam jamani, Chadema hivi Waislam waliwakosea nini.
Huijui Mbulu acha kutoa mharo wewe. CHADEMA hatuchagui mtu kwa dini yake, kabila lake, bali kwa uwezo wake wa kutuongoza
Mkuu sijui kichaga
Mkuu mungi,
Bado mkimaliza hapo elekeeni Hanang,Monduli na simanjiro hatutaki kuacha pengo
safi sana Karatu
Mustapha Akonaay ni muislamu, na ni mbunge wa Mbulu. Hoja zenu za udini ziwarudie ninyi wenyewe