mpasta
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 917
- 1,997
Mvua za ELNINO ni janga la Kitaifa. Hali ya miundombinu ya barabara ni mbaya kuanzia za mitaani mpaka barabara kubwa. Ningekuwa na uwezo ningefuta uchaguzi wa serikali za mitaa na kutumia pesa zake kukarabati miundombinu ya barabara.
Mwaka 2019 Uchaguzi wa serikali za mitaa ulitumia bajeti ya Bilioni 82, pesa ambazo kwa mwaka huu zitakuwa ni zaidi ya hapo, hivyo zikichanganywa na pesa za bajeti ya maafa tutaweza kurudisha hali bora ya miundombinu.
Mwaka 2019 Uchaguzi wa serikali za mitaa ulitumia bajeti ya Bilioni 82, pesa ambazo kwa mwaka huu zitakuwa ni zaidi ya hapo, hivyo zikichanganywa na pesa za bajeti ya maafa tutaweza kurudisha hali bora ya miundombinu.