Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Wakuu,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ni mwaka huu 2010.
Tafadhali leteni updates za mchakato wa uchaguzi huo bila kujali chama au aina ya uchaguzi (Rais, Wabunge, n.k)
Itakuwa vema tukipeana updates hapa mahali pamoja ili kujenga mazingira makini ya kufuatilia.
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ni mwaka huu 2010.
Tafadhali leteni updates za mchakato wa uchaguzi huo bila kujali chama au aina ya uchaguzi (Rais, Wabunge, n.k)
Itakuwa vema tukipeana updates hapa mahali pamoja ili kujenga mazingira makini ya kufuatilia.