Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hata hiki ulicho kiandika hakipo
Hiki ulicho kiandika hakipo kwa 2020
Hata wewe ujua sababu ni nini
Hiki ulicho kiandika hakipo kwa 2020
Hata wewe ujua sababu ni nini
.Membe au JPM?
SawaHata hiki ulicho kiandika hakipo
Kuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Ohoooo !!!Inawezekana katumwa na chadema
WAZEE NDO WAAAMUA,WAKATI NDIO UTAMUA adhima yao ya kumwaga pombe 2020 .Wanajua pombe sio chai
Membe anaanzaje kugombea kupitia CCM 2020, kwa JPM kamaliza awamu mbili kama ilivyo ada ?Kuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Kweli mkuu huu siyo wakati wa kuendekeza kulewaWAZEE NDO WAAAMUA,WAKATI NDIO UTAMUA adhima yao ya kumwaga pombe 2020 .Wanajua pombe sio chai
weee! watu wanajipanga 2020 wewe unataka wapate BP badala ya oil com ama shellKuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Alipangalo Mungu hakuna mwanadamu wa kulipanguaKwahiyo jiwe wanammwaga na mastandard gauge yake ?
Kama wewe ndiye mungu chadema itakufaAlipangalo Mungu hakuna mwanadamu wa kulipangua
Wivu tu ,ameaza lini kuijua yako kesho .....uwe mkulima tz,udili namaboyako bado siasa inakuhusu.....ndgyetu usikate tamaaMakonda kabla ya kuingia kwenye siasa aliitwa Bashite kwao kulikuwa Koromije , leo ni RC wa DSM kwa sababu ya siasa , kwanini miye unanikataza ?