Naunga mkono hoja kwasababu tanzania ilipofikia sasa tumefanya siasa kama mchezo wa mpira kila mtu anataka timu yake ishinde hata kama aina ubora na kusahau kuweka maslai ya taifa mbele,mikwangu naona ni bora tuondoe itikadi zetu na tuchague kiongozi bora na si bora kiongozi ili mradi wananchi waweze kupata maendeleo.