<br />Zitto hawezi kuhudhuria kwasababu ya tofauti zao na Mbowe. Unajua Zitto huwa hapendi kupelekwa pelekwa kama Mkokoteni. Sasa bila yeye sijui mtashinda vipi uchaguzi?
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />Naamini Zitto kama binadamu hawezi kuwa kila kona wanakokuwa viongozi wakuu wa CHADEMA. Kuzindua kampeni mpaka viongozi wote wawepo? Jamani nadhani wana CDM mfike mahali muwe realistic!
mpaka jioni tutakuwa tumeshajua ukweli hayo...angalizo ccm msifate wanaishi wilaya jilani kama nzega maana ndiyo lengo leo
Na haya yote ni matunda ya CCM
<br />
<br />
Unapata faida gani kuleta habari ya uongo? Shame On You!
<br />hebu weka hapa hizo picha! yani hadi toti walikuwa huko?
<br />Masanja alienda kufanya nini?
<br />hizo ndizo za Mkapa na Kikwete labda umesahau tukukumbushe...
Ndugu yangu inaonekana wewe hujatumia akili yako vizuri kutoa ahadi kali namna hiyo...inamaana wale wananchi wote waliojitokeza jana igunga ni wajinga au???acha mawazo mabaya namna hiyo, umati ule umewakilisha hisia za watu milioni 40 sio hisia yako moja tena inawezekana wewe ni moja ya mafisadi wa kutupwa nchini..kama ungekuwa na huruma na nchi yako usingeweza kuongea namna hiyo..shame up on u...
<br />tBurdani kwa tunaotoka kwenye mkutano mzito wenye hadhi ya kuhutubiwa na BIG BEN MKAPA. Pigeni porojo tu hapa JF soon nawarushia picha za kutano muone CCM inavyokualika Igunda hakuna cha CDM wala CUF hapa.