LATIFA,
Kila siku nakuambia jifunze matumizi ya herufu kubwa na ndogo, angalia sasa kumbe na wewe Kilaza, Teh teh teh teh
ignorance is a big setback to civilization .... i am out to ignore an idiot
LATIFA,
Kila siku nakuambia jifunze matumizi ya herufu kubwa na ndogo, angalia sasa kumbe na wewe Kilaza, Teh teh teh teh
Baada CCM ya kuangukia pua hapo igunga Mkapa atagoma kuongea na waandishi wa habari kuhusiana na hilo kama kawaida yake.Source: Mtanzania 9/9/11.
Kweli kama viongozi wetu ndio hawa, nchi hii sasa inaenda kubaya kabisa.
Wana JF: Nilidhani angeenda na kauli za kuwapoza wana Igunga kwa kipigo kikali cha maisha magumu na mlo mmoja, mfumuko wa bei na kilimo duni, yeye anasema kafurahi sana kusafiri kwenye barabara ya lami kutoka Dar hadi Igunga bila kuona vumbi.
Kimsingi, namuunga mkono na furaha yake kwa kuwa labda kwao lami ndio maendeleo. Ona haya ya Igunga;
Sasa kwa yeye kusema anaona raha lami imepita Igunga, basi hiyo lami ndio itatatua matatizo hayo na mengine mengi? Lami itashusha bei ya sukari? Lami itashusha bei ya mkate? Vipi hiyo lami itagawa dawa kutibu magonjwa? Lami itawapa wana Igunga maji safi ya kunywa?
- Kilimo cha pamba hoi.
- Huduma za afya mtihani
- Shule ni kusadikikaa
- Access to clean drinking water ni ndoto ya mwendawazimu
- Huduma za kibenki mashahidi nyie.
- Stendi safi ya mabasi imebaki kwenye ilani
- Vikundi vya kinamama na vijana vya maendeleo hoi
- Miundombinu kichekesho, shahidi yeye mwenyewe na Mwigulu,
- ....
Mi nadhani Mkapa angeenda kuwaomba wanaigunga msamaha kwa kusahaulika na zaidi sana kuwaangukia ili wamchague mgombea wao badala ya kusema lami safi sana.
Wazee wa kazi, Nawasilisha.
<br />Viongozi wa chadema wanatafuta kushika dola ya hii nchi Mkapa anatafuta nini sasa hivi? <br />
<br />
Mkapa naona anafanya hivyo kwa sababu anajua madhambi aliyoyafanya ndiyo maana hawezi kumbishia JK akimwambia wasadiane kujibu mapigo. Kimsingi Mkapa angekuwa msafi kamwe asingehangaika anavyofanya leo. Anajua kama Chadema wakichukua hii nchi hayuko salama kwa ufisadi wake alioufanya.<br />
<br />
Anaongea mbele ya umma kwa kujiamini akijua kuwa wanannchi wa kawaida hasa vijijini hawajui ufisadi wake. Amesahau kuwa habari huwaingia watu taratibu na Chadema wanaendelea kupenyeza habariza zake taratibu. Mambo yatakapokuwa hadharani kamwe hatadhubutu kuongea na hii Jeuri anayaoinyesha leo. <br />
<br />
Ngoja tusubiri tuone kama ataweza kuhimili mashambulizi!
<br />Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.<br />
<br />
Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"<br />
<br />
Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.<br />
<br />
Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.
Nimeangalia kura za maoni kwa jimbo la Igunga kwenye site ya mwanahalisi, ingawa kura hizi hupiwa na Watanzania wote lakini pia inawapa taswira hawa wanaojiita wamiliki wa nchi (CCM) jinsi waTZ walivyochoshwa na Uzemba na udhalimu wao.
Kwa matokeo zaidi bofya hapa: Gazeti la MwanaHalisi
Kwani ulitegemea matokeo gani ikiwa gazeti lenyewe lilioendesha kura linafadhiliwa na Magwanda kwa asilimia 80?
Kwani ulitegemea matokeo gani ikiwa gazeti lenyewe lilioendesha kura linafadhiliwa na Magwanda kwa asilimia 80?
Wakuu,
Wengi tumeshangaa Rais mtaafu kupanda tena jukwaani, kwa kawaida tulikuwa tumezoea kuliona Tingatinga la CCM (Samweli Malecela) kuwa front na kukata kata magogo, mizizi, miamba na miti ili kuchonga barabara.
Cha ajabu namwona Mkapa naye anapiga front Igunga, ndiyo najiuliza VIPI HILI NDIYO TINGATINGA JIPYA LA CCM ? kama kweli hili limetengenezwa toka China, Japan au Ujerumani? Je litahimili misukosuko ya miamba ardhini na kusonga mbele?
Binafsi watu tunamuheshimu sana huyu Rais wetu katufanyia mengi sasa kupanda jukwaani ni ishara kuwa sasa anataka mashambulizi yote ya kiasiasa yaanze kuelekezwa kwake? Je bado anaweza purukushani za kisiasa za majukwaani? Je atavumilia makombora toka kwa vijana wa CHADEMA? hatakasirika?
Tunamkaribisha sana igunga ila asije akatuambia sisi vijana tunamkosea adabu maana kaingia mwenyewe ulingoni kwa mara nyingine tena.
MY TAKE: CCM acheni wazee wapumike, kulikuwa hakuna haja yoyote ya kumsumbua mzee wa watu, kashawatumikia wananchi miaka 10 akiwa rais na mingine mingi tu. Huu ni muda wake wa kupumzika. Kama Mmewakosea wananchi na mna uhakika hawatawapeni kura angalieni mlipojikwaa lakini si kuwasumbua wazee wetu. Mtamponza mzee wa watu.
Mwanaweja;2459872 Alisema Wassira atakwenda Igunga kuongeza nguvu wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge said:
mwacheni akapige zake usingizi. na itakuwa kila akisimamishwa ili kuongea na wananchi, watu wa igunga watakimbia mbio kali kwa kuogopa SURA YAKE INAYOFANANA NA FARU wa porini.