Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Alipata ajali, naona ana brain damageNipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.