Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Alipata ajali, naona ana brain damage
 
Haya ni maoni tu. Hata gazeti la Rai nalo limetoa matokeo ya kura ya maoni yanayoipa ushindi CCM. Cha muhimu ni kile kinachofanyika uwanjani kuanzia sasa mpaka siku ya kupiga kura na kutangaza matokeo.


Wapinzani wote wanatakiwa kudhibiti wizi wa kura hasa wakati wa kuhesabu matokeo kwenye vituo vya kupigia kura, wakati wa kuhamisha maboksi ya kura toka kwenye vituo vya kupigia kwenda kwenye kituo cha kujumlisha na wakati wa kujumlisha matokeo.

Wawe makini na mchezo wa wabunge wa CCM wanaogoma kusaini matokeo na kulazimisha matokeo yahesabiwe upya kwani hapo ndio huwa wanapopigiwa bao.
 
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Kwa hiyo wewe kwako watu wa Tandale wote ni wahuni?
 
Kwa sababu Watanzania wengi ni washamba (80%) na hawana exposure. Helicopter ni kivutio kikubwa cha washamba kujazana kuitazama na kampeni ni kupata watu utakaowaeleza sera zako na kuwakinaisha, kila unapopata wengi kukusikiliza unakuwa na chance kubwa ya kuwarubuni wakuchague.

Unadhani ni nani wa kulaumiwa kwa ushamba wa watanzania baada ya miaka 50 ya uhuru?
 
Vipi mbona umesahau Magazeti ya Mtanzania, na lingine la Kingereza yote yanamilikiwa na Rostam, kisha changanya na maoni ya gazeti la Jamba leo utapata asilimia ya ushindi wa magamba.
 
Mkuu, kama una namba ya simu ya Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, muulize kwa nini alilazimika kuliondoa jina lake dakika za mwisho?

Kama uliyoyaandika yana ukweli na wala sio unafiki tafadhali weka namba ya Erasto Tumbo watu wampigie ili Ku-confirm habari yako. Wewe si umesema umempigia Erasto Tumbo, sasa mbona unawauliza watu namba ya bwana Tumbo
 
Ingekuwa ni OBAMA amevaa hivyo wala kusingekuwa na shida.... akili yako ni finyu!!!
 
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.

Kila chama na style yao. Wengine wanavaa magwanda, wengine wanavaa magauni na fulana, wengine wanavaa mashela. Acha wavae mradi wasitembee uchi maana huko ni kuvunja sheria na hao wote ni wazima isipokuwa tofauti yao tu ni katika kufikiri....
 
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.

Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"

Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.

Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.

Nilipoona identity tu nilipuuza,lakini nikaona nisikatishe njia nipite tu.umejitahidi.
 
Hii habari najua sio nzuri kwa Pro-CDM lakini huu ndio ukweli. Pande hizo mbili zimekorofisha, mvutano mwingine ni viongozi na wanachama Wilayani Igunga na mkoa wa Tabora, wanadai wamedharauriwa vya kutosha kwa kufanywa hawawezi kujisimamia wenyewe hata kwa mambo yanayowahusu
 
Nimejaribu kupiga simu Makao Makuu ya CDM, imepokelewa na sauti ya kiume nimeuliza kuhusu hizo habari za kukorofishana, hakuna aliyekuwa tayari kuweka wazi hilo suala kwa kuhofia kuchukuliwa hatua na viongozi wa juu wa CDM, na Mwenyekiti Mbowe, au Katibu Mkuu, Dr Slaa
wewe ulitegemea sauti gani kama ya ff
 
Nilipoona identity tu nilipuuza,lakini nikaona nisikatishe njia nipite tu.umejitahidi.
Nakushauri tulizana nyumbani endelea na Maternity leave usiende Igunga mtaumbuka wote bora umuache Dr Slaa, peke yake apambane kama Gaddafi
 
Cufu unganisheni kura na CDM. Mtawashida hawa jamaa. Lakini kama mkiendelea hivyo, hakuna cha maana mtakachopata hapo.
Hivi kwa nini mtu anaweza akasema kitu ambacho yeye mwenyewe anaamini kabisa hakiwezekani kufanyika.
au ni maandalizi ya baadaye kusema "sinilisema"?
 
Kama uliyoyaandika yana ukweli na wala sio unafiki tafadhali weka namba ya Erasto Tumbo watu wampigie ili Ku-confirm habari yako. Wewe si umesema umempigia Erasto Tumbo, sasa mbona unawauliza watu namba ya bwana Tumbo
Mimi nimekuambia nimeongea na Makao Makuu ya CDM sio Erasto Tumbo, umenielewa kijana? Chukuwa hii namba upige na wewe.
+255-22-266-8866
 
wapinzani wawe makini sana kwenye vyumba vitakavyotunziwa masanduku ya kura inasemakana wanatumia masterkeys kufungua uku watu wakiwa wametawanyika na kuchakachua kura
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom