Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Humo kwenye red: ina maana ili kugombea ubunge ni lazima mgombea apitishwe na Shirikisho la soka la Africa? Hii kali!Wote wanaweka pingamizi kumpinga mgombea wa CAF hakupitishwa na kikao rasmi cha chama chake zaidi waliandika barua ya utambulisho na kusainiwa na mtu asiye na mamlaka kichama CAF niwakurupukaji sana ngoja tusubiri.