Lol..naona kiswahili kinazidi kuharibiwa siku baada ya sikuwamewaingilia? fafanua kidogo rejao.
Taja source ya habari yako sio unakurupuka kubadili nyeusi kuwa nyeupe.Kweli nimeamini JF kuna wataala wa kugeuza Habari!
Ukweli wa hii habari ni kwamba CDM ndio wamewaingilia CUF na kuwafanyia fujo!CUF tayari wameshaliripoti hili.
Leteni habari hapa kwa umakini bila kukurupuka plzz!
Wapo FM si radio ya Kanisa unategemea watasema nini juu ya CDM zaidi ya kusifia Magwanda!
Nimeshasema tayri kuwa nipo Igunga na source ni mimi mwenyeweTaja source ya habari yako sio unakurupuka kubadili nyeusi kuwa nyeupe.
<br />Changanya na za Kwako, Hao sio CUF ilani......<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36649&d=1315332391" border="0" alt="" /><br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36649&stc=1" attachmentid="36649" alt="" id="vbattach_36649" class="previewthumb" />
Nimeshasema tayri kuwa nipo Igunga na source ni mimi mwenyewe
<br />Nimeshasema tayri kuwa nipo Igunga na source ni mimi mwenyewe
<br />Kweli nimeamini JF kuna wataala wa kugeuza Habari!<br />
Ukweli wa hii habari ni kwamba CDM ndio wamewaingilia CUF na kuwafanyia fujo!CUF tayari wameshaliripoti hili.<br />
Leteni habari hapa kwa umakini bila kukurupuka plzz!
<br />hiyo kapelo mi simo.
<br />hivi hatuna vijana wa cdm wa kuripoti kupitia jf live tukio hili? Hawafahamu umuhimu wa jf kama kipaza sauti huru kufikia potential people wenye ushawishi? Naamini wapo vijana kule,leteni habari on time bana
Nasikia Nepi kakupangishia guest house mna share nae chumba kimoja.Nimeshasema tayri kuwa nipo Igunga na source ni mimi mwenyewe