AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 17
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani?
Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu wa gereza tulimuuliza suala la wafungwa na kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi; akatujibu kuwa suala hilo lipo ktkt mchakato na kuna uwezekano mkubwa sheria ikapitishwa ili waweze kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu.
je hii sheria ilipita? wenye habari zaidi watujuze
Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu wa gereza tulimuuliza suala la wafungwa na kupiga kura kuchagua viongozi wa nchi; akatujibu kuwa suala hilo lipo ktkt mchakato na kuna uwezekano mkubwa sheria ikapitishwa ili waweze kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu.
je hii sheria ilipita? wenye habari zaidi watujuze