TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Mtu mmoja amefariki na wengine 40 wakiwa wamelazwa hospitali baada ya kula ubwabwa nyama na kunywa togwa kwenye mnuso huko Iringa. Inasadikiwa kinywaji au mlo ulikuwa na sumu.
Source: Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima
Source: Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima