ONA WATU WALVYOKUPONDA, JITAFAKARI, SOMA ALAMA ZA NYAKATIHakika mfumo mpya wa kuadhimisha siku za kitaifa pande zote za Muungano zimeleta msisimko kwa wananchi.Leo katika hotuba zao Shein na JPM kwa nyakati tofauti kutokea Zanzibar na Simiyu na Shinyanga wameelezea kuhusu jambo hilo..
Nawapongeza kwa ubunifu wa kizalendo.