Mramba:
Mimi ndo kiboko ya watanzania, yani nilinunua ndege mbovu na rada mbovu kwa bei za juu na waliponiuliza nikawaambia kuleni nyasi.
Ngereja:
Aaa wewe Mramba kweli kichekesho, yani watu wanataka kuwinda wewe unawatajia nyani!!! mi ndo kiboko niliwalaza watanzania miezi mitatu gizani wakati mi mwenyewe nina Genereta 3 na Solar panel 9
Kawambwa:
Mi ndo kiboko yenu, nimevunja rekodi hadi ile ya Mungai ya kuvuta history na mitaala mingine, yani nimetoa kubwa kuliko, yani zaidi ya asilimia 60 ya form 4 wamepiga one ya 7 with "F" flat
Magufuli:
Mi sisemi chochote manake mtasema 'Mr misifa' waulizeni wakazi wa kigamboni watawasimulia
JK:
Mshukuru mimi siyo waziri manake ningesema ya kwangu ya kwenu yote yangegeuka "Baraka"
Mimi ndo kiboko ya watanzania, yani nilinunua ndege mbovu na rada mbovu kwa bei za juu na waliponiuliza nikawaambia kuleni nyasi.
Ngereja:
Aaa wewe Mramba kweli kichekesho, yani watu wanataka kuwinda wewe unawatajia nyani!!! mi ndo kiboko niliwalaza watanzania miezi mitatu gizani wakati mi mwenyewe nina Genereta 3 na Solar panel 9
Kawambwa:
Mi ndo kiboko yenu, nimevunja rekodi hadi ile ya Mungai ya kuvuta history na mitaala mingine, yani nimetoa kubwa kuliko, yani zaidi ya asilimia 60 ya form 4 wamepiga one ya 7 with "F" flat
Magufuli:
Mi sisemi chochote manake mtasema 'Mr misifa' waulizeni wakazi wa kigamboni watawasimulia
JK:
Mshukuru mimi siyo waziri manake ningesema ya kwangu ya kwenu yote yangegeuka "Baraka"