Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,230
- 113,589
- Thread starter
- #21
Ipo na inafanya kazi.
Kuna siku nilipanda hapo mjini, ile kushuka dereva akajisahau akaanza kunidai nauli.
Ndo nikaanza kumuelekeza jinsi atakavyolipwa, akaelewa nikamuacha nikasepa.
Safi sana mkuu.