MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,257
- 14,258
Naam, burudani ya soka inarudi tena weekend hii baada ya mapumziko mafupi kupisha michuano ya kimataifa kwa mujibu wa kalenda ya FIFA, hivyo tutashuhudia mitanange kadhaa itakayopigwa katika madimba mbalimbali na nikiwa kama mdau wa soka nimeangazia michezo kadhaa kutoka katika ligi pendwa ya EPL na mwishowe kuja na utabiri kama ifuatavyo:
(NB: Ukiwa na utabiri wako weka).
1400 (EAT): Arsenal v Spurs: 3-2
1700 (EAT): Liverpool v Brighton: 3-1
1700 (EAT): Crystal Palace v Chelsea: 1-0
1700 (EAT): Southampton v Everton: 2-1
1700 (EAT): Fulham v Newcastle 2-1
1700 (EAT): Bournemouth v Brentford: 1-1
1930 (EAT): West Ham v Wolves: 1-1
1600 (EAT): Man City v Man Utd: 3-0
1830 (EAT): Leeds v Aston Villa: 2-2
2200 (EAT): Leicester v Nottingham Forest: 2-1
Fingers crossed!😎
(NB: Ukiwa na utabiri wako weka).
1400 (EAT): Arsenal v Spurs: 3-2
1700 (EAT): Liverpool v Brighton: 3-1
1700 (EAT): Crystal Palace v Chelsea: 1-0
1700 (EAT): Southampton v Everton: 2-1
1700 (EAT): Fulham v Newcastle 2-1
1700 (EAT): Bournemouth v Brentford: 1-1
1930 (EAT): West Ham v Wolves: 1-1
1600 (EAT): Man City v Man Utd: 3-0
1830 (EAT): Leeds v Aston Villa: 2-2
2200 (EAT): Leicester v Nottingham Forest: 2-1
Fingers crossed!😎