Ubahili mwingine mhh!!

WomanOfSubstance

JF-Expert Member
May 30, 2008
5,457
956
Katika famila moja,baba mwenye nyumba alijikuta kila akipewa shopping list, toothpick ni item inayojirudia sana.
Akaona lazima akomeshe hiyo tabia.Akawaita wanawe, hausigel na mamsap na kuwauliza iweje toothpick hazikai!
Wote wakawa wamejiinamia hawana la kusema.Hausgel akakurupuka
" baba, siyo mimi kabisaaa! Ni hawa akina .......Mimi nikimaliza kutumia, situpi.Huwa nazirudishia kwenye kichupa chake"
MAKUBWA HAYO! Kila mmoja alibakia kamtolea macho kwa mshangao.
 
hii inanikumbusha, kuna Mama mmoja alitafuta chupi yake akaikosa, na akabidi amuulize House girl, "chupi yangu mbona haionekani ama umeichukua?" House girl akajibu " mimi huwa sivaagi chupi , hata baba anajua (yaani mume wa yule mama)
 
hii inanikumbusha, kuna Mama mmoja alitafuta chupi yake akaikosa, na akabidi amuulize House girl, "chupi yangu mbona haionekani ama umeichukua?" House girl akajibu " mimi huwa sivaagi chupi , hata baba anajua (yaani mume wa yule mama)

Duh! naona baba mwenye nyumba anajuana vizuri na house girl wake.
 
Katika famila moja,baba mwenye nyumba alijikuta kila akipewa shopping list, toothpick ni item inayojirudia sana.
Akaona lazima akomeshe hiyo tabia.Akawaita wanawe, hausigel na mamsap na kuwauliza iweje toothpick hazikai!
Wote wakawa wamejiinamia hawana la kusema.Hausgel akakurupuka
" baba, siyo mimi kabisaaa! Ni hawa akina .......Mimi nikimaliza kutumia, situpi.Huwa nazirudishia kwenye kichupa chake"
MAKUBWA HAYO! Kila mmoja alibakia kamtolea macho kwa mshangao.

I read this joke many years back on a newspaper. It still cracks me up.
 
"Duh! naona baba mwenye nyumba anajuana vizuri na house girl wake."

Lakini mbona hili tatizo la baba wa nyumba kutaka kumjua vema housegirl linaongezeka? au hawa wasichana wanatumwa kuwajua vema baba wa nyumba?
 
Inaelekea huyu mama kama walivyo kinamama wengi hatimizi wajibu wake kama mlezi wa nyumba. Ilitakiwa yeye awe wa kwanza kujua kwamba hausegirl hana chupi. kwa kuwa kinamama wamezoea kuwa wakali kwa mahousegirl ndiyo maana ikabidi baba aombwe chupi.
 
"Duh! naona baba mwenye nyumba anajuana vizuri na house girl wake."

Lakini mbona hili tatizo la baba wa nyumba kutaka kumjua vema housegirl linaongezeka? au hawa wasichana wanatumwa kuwajua vema baba wa nyumba?
hehehe
nyumbani tumepata hausigeli mpya
je mimi nikiwa kama baba mwenye nyumba naruhusiwa kufanya ukaguzi?
 
Tena kama una udhaifu wa haraka ni balaa..Poleni sana,avatar imewatega maana nizinge zinategua kama mabomu..
Belinda
mie sina udhaifu ila nalainika mno ninapoona tupaja twa kike.
enewei huyu Chamtu... ameamua kuonesha hiyo kitu *avi kabisa hahaha
 
Mkuu hii avatar yako inanikumbusha kule zamani kwenye ze uchungu.
shekhe
hili zigo ktk avatar ya Chamtuvima linanipa shida sana kwenye kuchanganya picha ktk ubongo wangu.
Sijui kama Belinda naye amejazia-jazia hivyo au? ah we acha tu mabinti hawa watatumalizia mitaji mwaka huu
 
Back
Top Bottom