Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,744
safi! nilijua wanaanza bariadi.Kwhy wanakushusha maswa kwanza kisha wanaenda kulala bariadi mkoani.
shukrani
safi! nilijua wanaanza bariadi.Kwhy wanakushusha maswa kwanza kisha wanaenda kulala bariadi mkoani.
poa poa mkuuWako vzr sana, mara zote nimesafiri nao hakukuwa na shida.
Hapana, ni maswa kwanza kisha bariadi. Kwanza siku hz kule ni lami tu. Kwhy ukishafika shy, mpk maswa ni km dakika 40 mpk saa moja.safi! nilijua wanaanza bariadi.
shukrani
nimekupata mkuuHapana, ni maswa kwanza kisha bariadi. Kwanza siku hz kule ni lami tu. Kwhy ukishafika shy, mpk maswa ni km dakika 40 mpk saa moja.
Watanzania mnasafiri.... huko maswa sio nchi za Rwanda na kongo?Hapana, ni maswa kwanza kisha bariadi. Kwanza siku hz kule ni lami tu. Kwhy ukishafika shy, mpk maswa ni km dakika 40 mpk saa moja.
😂 😂 😂 😂 aiseeeWatanzania mnasafiri.... huko maswa sio nchi za Rwanda na kongo?
Nyehunge linaishia MorogoroTumieni nyehunge au Ally's, no kero
Wilaya mojawapo ktk mkoa wa SimiyuWatanzania mnasafiri.... huko maswa sio nchi za Rwanda na kongo?
Huo utakua ni mkoa mpya haukuwepo miaka ya 73 wakati nasoma mikoa ya Tanzania. Utakua ni mmoja au jirani na Manyara au KataviWilaya mojawapo ktk mkoa wa Simiyu
Kampuni pekee ambayo ina asilimia kubwa kdg ya uaminifu kwa sasa ni SHABIBY BUS SERVICE tu ombeni Mungu waanzishe ruti ya mwanza hamtapata kero hizo aseeHabari wakuu,
Kwanza nawatakieni heri ya sikukuu ya Pasaka. Nia na dhumuni la kuandika Uzi huu ni kutokana na kero za kiusafiri hasa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine zaidi ile ya masafa marefu kama Dar to KG, Mwanza to Dar n.k
Dar Lux wamekuwa mbwa sana kwenye utoaji wa huduma zao. Yaani Alhamis tuliondoka mwanza saa nne kuelekea Dar mwisho wa siku kutokana na kuchelewa kuondoka wanaanza kupapatika njiani kwa mwendo wa juu zaidi na hata hivyo tukalala Gairo. Tukafika Dar es salaam saa saba mchana siku ya ijumaa.
Hapohapo jamaa wakasema eti wakifika wanapakia abiria wengine kurudi nao mwanza. Ina maana watu walotakiwa kusafiri saa 12 asubuhi wakatumiwa SMS usiku kama sisi kwamba kuna dharura hivyo wataomba waondoke muda mwingine japo naamini waliwadanganya hawakuwaambia wataondoka saa nane au Tisa mchana,kama sisi walivotuambia tutaondoka saa mbili na nusu badala yake tukaondoka saa nne. NILIKUWA NAWAAMINI SANA HAO JAMAA SASA HIVI NI WABABAISHAJI BALAA JAPO GARI ZAO UKIPANDA KWA KIASI FLANI UNAKUWA COMFORTABLE.
Kingine ninachotaka kujua ni kwa namna gani naweza pata msaada wa kisheria ninapopatwa na na kwa yeyote atayepatwa na kadhia kama hii!? Inaudhi mnoooo!!! Halafu kwenye nauli wanaringa balaa bila 50 elfu hujapanda gari zao na wanajisikia sana hafu mwisho wa siku wanaleta mauzauza hayo
Ni mkoa mpyaHuo utakua ni mkoa mpya haukuwepo miaka ya 73 wakati nasoma mikoa ya Tanzania. Utakua ni mmoja au jirani na Manyara au Katavi
wenye magari mazuri mazuri wengi hiyo ruti naona kama wanaikwepaKampuni pekee ambayo ina asilimia kubwa kdg ya uaminifu kwa sasa ni SHABIBY BUS SERVICE tu ombeni Mungu waanzishe ruti ya mwanza hamtapata kero hizo asee
Hiyo tabia alikua anayo mama wa mshikaji wangu yeye alikua anakopesha watuPole, mmiliki wake kuna tetesi ni tapeli/jambazi/mwizi kama wale jamaa wa easy finance, kadhulumu watu wengi sana kwa kukukopesha mil unaweka bondi ya house then anapotea, then siku ya siku anaibuka umechelewesha mkopo, au unakuta nyumba yako keshaichukulia mkopo na hizo hela ndiyo utakatishaji, kakaa sana ndani kipindi hiki cha haki kwa haki, wakati mwingine basi zinakosa mafuta hivyo pole sana, mi nilishaacha kuzipanda
Allys Sport Bus jamaa umenikumbusha mbali, nimeyatumia sana yale Mabasi Mwanza saa 1 jioni mkitoka Dar 12 asubh, kama mnaenda Dar na zile foleni za Kibamba-Kimara saa 1:45 jioni mpo Ubungo, Kosa lake baadaye alinunua mabasi ya nisan diesel yakawa yanapiga route za Shy, Tbr, Dom kutokea Mwanza nadhani yale yalimpiga hasara.Huyu Ally's star wa sasa si yule wa zamani. Wa sasa ni mdogo wake na yule aliyemiliki Ally Sports Bus.
Magari yakifika si TRA inasajiri sasa akiyauza kuna kosa? Avha roho ya kimaskini unataka jamaa afilisike we itakusaidia nn? Kwa taarifa yako hata kukwepa kodi ni sifa Trump ni Rais wa linchi likubwa, alikwepa kodi na anajisifia kuwa yeye ni smart kuliko serikali.Pale unapopaona ni dukani au transit center ya magari wanayoagiza.
Huyo jamaa/mmiliki anaonekana ni magumashi flani hivi kwa ukwepaji kodi, (kwa nini nasema hivo?) bado kuna tafiti inafanyika kupitia urafiki wake na kampuni ya Higer, maana anaagiza mabasi na yanakuja kwa rangi na jina la dar lux yakifika hapa Bongoland anayapiga bei.
Ndiyo maana unaona kuna mabasi mengine pale yana namba ila hayaingii barabarani.
it's technical to avoiding some revenue.
Ni wivu tuDar lux kwa kweli wanahudumaa mbayaaa saana na hawajali mteja kabsa na ninatabiria vibya hii kampuni haitakuwepo baada ya miaka miwili. Ilkuwa niwafungulie kesi mwaka jana sema sikuwepo hapa nchini kitendo walichonifanyia ni kitendo cha kihuni sana. Naungana na mleta mada Dar lux isiwe kipaunbele. Tafuteni magari mengne ya kawaida.