Uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho wabamba Dunia nzima: Bei ya korosho yaongezeka kwa 10% katika masoko ya Dunia wakihofia zuio la Rais Magufuli

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Bei ya korosho iliyobanguliwa katika Soko la Dunia imeongezeka kwa asilimia 10% kwa Mwezi Novemba 2018 hadi kufikia $3.8 kwa paundi.

Kulingana na Kampuni ya Kiingereza ya Freeworld Trading, limedai kuwa, chanzo cha ongezeko hilo ni hatua ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kuingilia kati bei ya korosho kwa kuamua kuinunua korosho badala ya Wafanyabiashara.

Naona Dunia itatuelewa sasa, hapa Tanzania inachotaka ni win-win situation. So najua watatuelewa tu though wakati mwingine kwa gharama kubwa.

IMG_0187.JPG

IMG_0188.JPG



IMG_0192.JPG


IMG_0201.JPG
 
Copy and paste from #Nazjaz

Under Magufuli, Tanzania is dying slowly.

Magufuli hana dhamira ya dhati ya kuendeleza nchi, nia yake ni kuona anajenga majengo na miradi mikubwa kwa mikopo mikubwa yenye tiba kubwa na masharti magumu sana, ilimradi tu, amfunike Nyerere.

Mpaka anamaliza utawala wake, Magufuli atatuachia mzigo Mkubwa sana wa madeni.

Halo achilia mbali kesi ambazo zinafunguliwa Kila kunapokucha kwa sababu ya Magufuli kuvunja mikataba kiholela na maamuzi ya kukurupuka.
 
Back
Top Bottom