Ndugu zangu numesikitishwa sana na taarifa za hivi punde ITV kuwa watu hao wamechoma kanisa la kikristo la TAG(Tanzania Assembly Of God)sasa najiuliza wakristo wamewakosea nini?. kwani uamsho huo si ni juu ya muungano?sasa imekuaje wakristo wachomewe makanisa? nawasilisha.