sa chupi inasaidia nini ktk hili?? coz hata wakati wa hicho kitendo wao huvaa pedi ndo zanawasaidiaunafahamu kuwa hawa wenzetu huwa na kawaida ya kubadili oil kila mwezi? mbaya zaidi anaweza kubadili ghafla hata wakati ambao haukuwa ktk ratiba.
sa chupi inasaidia nini ktk hili?? coz hata wakati wa hicho kitendo wao huvaa pedi ndo zanawasaidia
chupi pekee haitoshi
hapo kwenye red sikubalian na wewe,,,hasa wa zama za sasa,wanawake maungo yenu hayana siri kabisaaaaaaa,,,,,,,,tena thaman imeshuka kama shilingi yetutunavaa ili kubana ****** yasitingishike sana na hata ukivaa nguo isiangaze mtu ukaona ndani mojamoja jaman!hii ni sehemu ya siri kwahyo unatakiwa kuificha sana mtu mwingine ashindwe kuona hta kuhisi ramani yake imekaaje!
Inakaa yenyewe?
Jf bwana, huyu naye cjui alikuwa wapi akiwaza, mpaka akaingiwa na hili wazo na kuamua kuuweka huu uzi...., aiseee!