Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Serikali ya watu wa Saudi Arabia imeipatia serikali ya TZ msaada wa Tende ikiwa ni sehemu ya kukuza urafiki wa jamuhuri hizi mbili.
Source Channel Ten news saa moja jioni.
My take: kulikuwa na tuhuma kwenye Wilileaks kuwa Mkuu wa kaya alipewa zawadi ya suti na Al Bawady wa Kempinsky mara wakapewa eneo serengeti la kujenga Bilila Lodge. Sasa hizi tende sijui wanalipia nini walichopewa na TZ? Maana siku hizi vya bure vina gharama zaidi.
Source Channel Ten news saa moja jioni.
My take: kulikuwa na tuhuma kwenye Wilileaks kuwa Mkuu wa kaya alipewa zawadi ya suti na Al Bawady wa Kempinsky mara wakapewa eneo serengeti la kujenga Bilila Lodge. Sasa hizi tende sijui wanalipia nini walichopewa na TZ? Maana siku hizi vya bure vina gharama zaidi.