Bruker uko upande gani au unasoma magazeti ya nchi gani ? Magazeti karibu yote yana habari hiyo kasoro majarida ya ccm
Wadau najiuliza ni kwanini mpk leo asbh hakuna tv yeyote imeonyesha wala kuripot hbr ya cdm-tabora?tbc huwa wanatoaga hbr via internet bt kwa hili hawajafanya wako bize kuonyesha wanaovua magamba wakizunguka na kuzidisha chuki
Wameona kulikuwa hakuna cha kuripoti ndio maana, kwani wanayarudia yale yale hakuna jipya
Wadau najiuliza ni kwanini mpk leo asbh hakuna tv yeyote imeonyesha wala kuripot hbr ya cdm-tabora?tbc huwa wanatoaga hbr via internet bt kwa hili hawajafanya wako bize kuonyesha wanaovua magamba wakizunguka na kuzidisha chuki
Wameona kulikuwa hakuna cha kuripoti ndio maana, kwani wanayarudia yale yale hakuna jipya
tusubili leo coz jana mkutano uliisha jioni sana.nafikiri ni mapema kulaumu sababu tz ya sasa haitofautiani na ya 1961.
Hizi ndio sababu zilifanya kuwepo kwa mjadala kuwa CDM wamiliki TV station yao wenyewe, maana hizi za binafsi ni manyanyaso tu, si ajabu hiyo habari isirushwe kabisa