William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Hapana Mzee wangu, serikali ya US ni lazima itaarifiwe mapema maana kuna ulinzi wa overtime, nani ataulipia? Protocali hairuhusu ndugu yangu ninakumbuka one time Mwalimu pale NY alitaka kumtembelea mama mmoja ambaye ni kutoka familia yake, yaani nyumbani kwake kule Queeens,
Secret Service wakakataaa kuwa hapafai kiusalama na hakwenda, isingewezekana kabisaaa yeye kuanzisha safari mpya ya kuja Detroit, kwake kumtuma Mtawa, ilikuwa heshima kubwa sana, tena sana, halafu kumbuka kuwa Mtawa alitokea bongo hakuwemo kwenye safari!
I respect lawama zako, lakini not a president Mtawa was too big kuja huko, yaani kisiasa rais mwenyewe alikuwepo!
Secret Service wakakataaa kuwa hapafai kiusalama na hakwenda, isingewezekana kabisaaa yeye kuanzisha safari mpya ya kuja Detroit, kwake kumtuma Mtawa, ilikuwa heshima kubwa sana, tena sana, halafu kumbuka kuwa Mtawa alitokea bongo hakuwemo kwenye safari!
I respect lawama zako, lakini not a president Mtawa was too big kuja huko, yaani kisiasa rais mwenyewe alikuwepo!