Two Kenyan men wed in London

upumbavu mwingine unatia kinyaa.... halafu yanachekelea utafikiri wanachofanya ni kiziru...


si ndio maendeleo na uhuru huo ulioletwa na dini tunayoambiwa ina upendo sasa mnalalamika kitu gani?????

hatujaambiwa walikuwa kanisa lipi ????
 
si ndio maendeleo na uhuru huo ulioletwa na dini tunayoambiwa ina upendo sasa mnalalamika kitu gani?????

hatujaambiwa walikuwa kanisa lipi ????

Kwanini kanisa lipi na si msikiti upi? Ushaingiza mambo ya udini wakati wajinga wale wamefunga ndoa ya kiserikali. Miafrika Ndivyo Tulivyo, sikushangai.
 
JS We ni shemeji yake shemeji yangu Geoff? I mean, we mtoto wa kichaga? Hiyo yeeeuwiiiiii. Hahahaha!

yani ni jinsi gani nimepatwa na mshtuko kunako moyo ndugu yangu vitu vingine vinasikitisha kabisa.
 
Balaa! Hata huku bongo yapo mashoga sana tu. Tofauti ni kwamba mashoga yanadharauliwa sana, hasa lile shoga linaloingiliwa (senge), maana nimeambiwa anayeingilia na anayeingiliwa yote mashoga tu! Kichekesho ni kuwa lile shoga linaloingilia mwenzie (b*sha) linajiona 'kidume' sana, na hata halioni aibu kusemwa kuwa linaf*ra mwenzie.

Lakini mimi naelewa kuwa mtu anaweza tu kuwa dume mbele ya jike, yaani uanaume hauna thamani kama wanawake hawapo and vice versa. Shoga lolote ni jitu linalopuuza thamani ya kuwapo wanawake. Na pia kati ya mse*ge na bash* hakuna miongoni mwao aliye mwanaume, kwa kuwa uanaume unaonekana wanapokuwapo wanawake. Kwa hiyo mishoga ni mijitu iliyopotea njia, kama mwanamuziki mmoja anayeita kundi lake 'lost boys'
 
Ewe Mmungu tuepushie na lana hii kuingia hapa nchini Tanzania kama alivyokwisha kusema mlezi wa nchii hii Marehemu Nyerere kuwa watanzania ni wabovu kwa kuiga mambo ,
 
Pengine walisoma kwenye shule hiyo hapo chini hahahahaha maana naskia iko Kenya, mnaopeleka watoto wenu kusoma Kenya muwe makini!....................................................
 
Translation: English » Swahili

Imekuwa ya harusi ya majadiliano ya wiki mjini London kati ya Kenya jamii. Ya harusi ya Mheshimiwa Daniel Chege Gichia, 39, ambaye Wed Charles Ngengi, 40, mjini London jumamosi tarehe 17 Oktoba, 2009. Ni gay Kenyan kwanza harusi nchini Uingereza ambapo washirika wote ni kutoka Wakenya. A timu ya kuhusu watu 20 ikiwa ni pamoja na wageni aliwasili saa saa Islington Ofisi ya Msajili wa Baraza, Islington Town Hall, London Kaskazini saa 11:30. Bridal bestod ya chama Wamama Kenya mbili na mbili ya watu wa Kenya ambayo mmoja alikuwa flown kutoka Uholanzi kwa ajili ya harusi. Kulikuwa na maelekezo kali sana juu ya vyombo vya habari. The press watu walikuwa alikanusha kuingia ofisi ya msajili na hata baadaye kulikuwa na joto hoja waandishi wanaume ambapo chama bridal alisisitiza kwamba vyombo vya wanaume wanapaswa kuondoka lakini hawakuwa na uwezo wa kufanya hivyo kama ilivyokuwa katika mahali umma. Baada ya harusi ya dygnet sherehe ikifuatiwa Kaskazini London saa Safari Bar, 975 High Road, North Finchley. Wapatao 100 guests walihudhuria dygnet. Kulikuwa na mvutano katika dygnet kama baadhi ya timu ya usalama kufukuzwa baadhi cameramen kuogopa kwamba habari na photos ingekuwa nchi ndani Kenya magazeti. Miongoni mwa wageni ambao walihudhuria harusi alikuwa mwanamke mwenye umri wa Kenya sasa kutembelea escorted Uingereza ambaye alikuwa na binti zake watatu wa harusi. Baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza zamani mwanamke alikuwa na haya kusema: "Ngai ûroigire ûndehe rûraya nyone maûndû maya moru ta itanakua. NIKI Hihi? Nîkio Kana airîtu ayaṃ aitû maraga athuri? (Jinsi Mungu kuruhusiwa kuja kwangu kuja juu na Uingereza kuona mambo kama hayo. nini? Je, hii ni nini na kusababisha wasichana wetu si kuolewa?) ni "tamaa lady commented

Hii translation kiboko!
 
...lol, acha maskhara bana... mambo ya u "top gay" huko huko kwa kina 'Muthokoi, Githeri' na Wanjirus bana, Not in Tanzania bana... :D

Kwani unabisha hakuna 'machoko' Bongo?
 
si ndio maendeleo na uhuru huo ulioletwa na dini tunayoambiwa ina upendo sasa mnalalamika kitu gani?????

hatujaambiwa walikuwa kanisa lipi ????
Na we grow up banaa, hakizungumzwi kitu hapa bila udini? ukitaka kuyaleta utayapata, nachojua mimi wanaoongoza kwa huo ujinga ni waarabu, na waarabu ni unajua dini yao majority. so better keep religion out of this, hawa hawakwenda msikitini wala kanisani.
 
Ina maana jamaa walikuwa na usongo wakafungua mlango kabla ya Waingereza wenyewe au vipi?

Hapa kuna homophobia pamoja na utamaduni wa machismo ya ajabu.Jamaa hawajaingia kwenye anga zangu na wala mimi sijaingia kwenye anga zao.Poa kivyao na mimi poa kivyangu. Hivi kama baadaye mashoga ndiyo wanakuwa majority halafu wakianza kuku discriminate wewe kwa sababu wewe ni minority (straight) utajisikiaje? Hii ni sawa na kum hate mtu kwa sababu anapenda vanilla on his ice cream na wewe unapenda chocolate, kama hajakulazimisha kula utam-mind kwa misingi gani? Kila mtu kivyake. Nchi za watu wote nyie wenye homophobia mnapewa diversity class ya mwezi mmoja kwa matamshi ya kibaguzi.

Halafu watu hao hao wanao discriminate gays kwa basis ya sexual preference wakiwa discriminated against on basis of color watajisikia vibaya? Ubaguzi, katika context hii, ni ubaguzi tu.

Hizi outrage nyingine nafikiri tunaprotest too much, which says so much about our very own insecurities with the subject.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom