Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Najua uko busy lakini sitoacha kukuhimiza wewe mwenye nafasi kwenda kanisani
siku ya kesho kumshukuru mungu kwa ukarimu wake wote aliokupa mpaka leo
ukiwa unahema na auko icu..je mimi na wewe ni nani tumempa nini mungu
je ni kwasababu tuko safi la hasha zaburi anasema kila mwenye pumzi na amsifu mungu
nalifurahi waliponiambia na ywende nyumban kwa bwana
mungu akubariki mpendwa nenda kaandae wiki yako ya kuanzia jumatatu
nenda mwambie mungu akusaidie kwenda kanisani akuitaji kamati kikao bali utayari wako
hebr 10:38 inasema mwenye haki wangu ataishi kwa imani akisisita hana imani lakin sisi tu miongoni mwa okolewao roho zao
mpao abakise
siku ya kesho kumshukuru mungu kwa ukarimu wake wote aliokupa mpaka leo
ukiwa unahema na auko icu..je mimi na wewe ni nani tumempa nini mungu
je ni kwasababu tuko safi la hasha zaburi anasema kila mwenye pumzi na amsifu mungu
nalifurahi waliponiambia na ywende nyumban kwa bwana
mungu akubariki mpendwa nenda kaandae wiki yako ya kuanzia jumatatu
nenda mwambie mungu akusaidie kwenda kanisani akuitaji kamati kikao bali utayari wako
hebr 10:38 inasema mwenye haki wangu ataishi kwa imani akisisita hana imani lakin sisi tu miongoni mwa okolewao roho zao
mpao abakise