Twambieni Wana Mbinga Heri Tuamie Malawi Tujue Moja - Kapten John Komba

DSN

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
2,837
1,674
Kapteni John akiwasilisha mchango wake leo kwenye Bunge kuhusu Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara na akisema kwa uchungu kuwa kwa jinsi Serikali ilivyowatendea wananchi wa jimbo lake hata katika swala la Sukari amabyo ni kitu cha muhimu sana kwa maisha ya Watanzania.

Hivyo kwa kuwa Serikali inawabana sana wakazi,wa Mbinga kujihusisha na kuchukua baadhi ya bidhaa kama sukari na kuyafanya maisha ya wana Mbinga ambao kijografia hiko karibu na Malawi kuwa magumu.

Hivyo anashauri ni vyema wakawaambiwa waamie Nchi ya Malawi kulikoni kutendewa hayo ndani ya Nchi yao,amabyo inasema ina Serikali sikivu.

Hakika sikuamini hata komba leo anasimamia ukweli pamoja na kuwa yeye ndiye kinala wa nyimbo [masongi] ya kikada ya CCM.Ama kweli nyakati uonge [Time will tell].

"Tieni tieni tieni kwa Moyo mmoja Nambari one eeeeeeeehh nambari one ni Tanzaniaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

"Wabunge wamechukua wameweka Serikali Chaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
 
Anajua yatakayomkuta hapo baadaye, kweli alilala fofofo, wakati jimbo lake wanalia na umeme na mafuta yeye bado yuko na sugar tu, ndo matokeo ya kulala hajui what is going on hapa tz.
 
Akikurupuka toka usingizini husema alichokua anakiota, leo angalau malaika anayehusika na ndoto ana akili
 
Sasa anaogea nini huyo,liache unafiki! Kwa hiyo leo linasema kwamba bora wahamie malawi kwa sababu serikali ni legelege, kesho likikurupuka linasema wapinzani wanaosema hivyo waongo.pumbaffffffffffffffff
 
lLEO HAKUUCHAPA USINGIZI NINI NIMESHANGAA KUSIKIA KAONGEA HOJA NZITO KAMA HIYO KWA MBUNGE SAMPULI YA KOMBA KWELI LEO AMEOTA NDOTO NZURI JAMAA,LAKINI BADO NI MZIGO JAMAA NI KITUKO TU......................................
 
lLEO HAKUUCHAPA USINGIZI NINI NIMESHANGAA KUSIKIA KAONGEA HOJA NZITO KAMA HIYO KWA MBUNGE SAMPULI YA KOMBA KWELI LEO AMEOTA NDOTO NZURI JAMAA,LAKINI BADO NI MZIGO JAMAA NI KITUKO TU......................................
<br />
<br />
UKIONA HIVYO YUPO KWENYE SWAUM HAKUKESHA KI_DARINI WALA CHAKO NI CHAKO!!! AF HUKO MBINGU,I MEAN MBINGA WAMEMCHIMBA MKWALA HAWAMPI KULA(KURA) TEEENA NDO USIKU KUCHA AKAKARIRI KITU CHA KUMUOKOA !!! HIHIIII ASEE KUMBE UBUNGE RAHA SAAANA LOOL
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
UKIONA HIVYO YUPO KWENYE SWAUM HAKUKESHA KI_DARINI WALA CHAKO NI CHAKO!!! AF HUKO MBINGU,I MEAN MBINGA WAMEMCHIMBA MKWALA HAWAMPI KULA(KURA) TEEENA NDO USIKU KUCHA AKAKARIRI KITU CHA KUMUOKOA !!! HIHIIII ASEE KUMBE UBUNGE RAHA SAAANA LOOL
<br />
<br />
ndo hapu sasa na mi nikamshangaa pale pa kumaliza na kusema naungi mkonu hoja iliyu mbeli mwishi akapigi mwayu na kutunda chihuni pyuuuuyuu mpaka vayaki vapala kuntila pa atemi Ko
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ndo hapu sasa na mi nikamshangaa pale pa kumaliza na kusema naungi mkonu hoja iliyu mbeli mwishi akapigi mwayu na kutunda chihuni pyuuuuyuu mpaka vayaki vapala kuntila pa atemi Ko
<br />
<br />
HAHAHAHA MBAV ZANGU WEEE
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
ndo hapu sasa na mi nikamshangaa pale pa kumaliza na kusema naungi mkonu hoja iliyu mbeli mwishi akapigi mwayu na kutunda chihuni pyuuuuyuu mpaka vayaki vapala kuntila pa atemi Ko
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Back
Top Bottom