DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kapteni John akiwasilisha mchango wake leo kwenye Bunge kuhusu Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara na akisema kwa uchungu kuwa kwa jinsi Serikali ilivyowatendea wananchi wa jimbo lake hata katika swala la Sukari amabyo ni kitu cha muhimu sana kwa maisha ya Watanzania.
Hivyo kwa kuwa Serikali inawabana sana wakazi,wa Mbinga kujihusisha na kuchukua baadhi ya bidhaa kama sukari na kuyafanya maisha ya wana Mbinga ambao kijografia hiko karibu na Malawi kuwa magumu.
Hivyo anashauri ni vyema wakawaambiwa waamie Nchi ya Malawi kulikoni kutendewa hayo ndani ya Nchi yao,amabyo inasema ina Serikali sikivu.
Hakika sikuamini hata komba leo anasimamia ukweli pamoja na kuwa yeye ndiye kinala wa nyimbo [masongi] ya kikada ya CCM.Ama kweli nyakati uonge [Time will tell].
"Tieni tieni tieni kwa Moyo mmoja Nambari one eeeeeeeehh nambari one ni Tanzaniaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
"Wabunge wamechukua wameweka Serikali Chaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Hivyo kwa kuwa Serikali inawabana sana wakazi,wa Mbinga kujihusisha na kuchukua baadhi ya bidhaa kama sukari na kuyafanya maisha ya wana Mbinga ambao kijografia hiko karibu na Malawi kuwa magumu.
Hivyo anashauri ni vyema wakawaambiwa waamie Nchi ya Malawi kulikoni kutendewa hayo ndani ya Nchi yao,amabyo inasema ina Serikali sikivu.
Hakika sikuamini hata komba leo anasimamia ukweli pamoja na kuwa yeye ndiye kinala wa nyimbo [masongi] ya kikada ya CCM.Ama kweli nyakati uonge [Time will tell].
"Tieni tieni tieni kwa Moyo mmoja Nambari one eeeeeeeehh nambari one ni Tanzaniaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
"Wabunge wamechukua wameweka Serikali Chaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!