Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Bintiye mzee makamba wa Vodacom Mwamvitta Makamba, alihonga hela taslimu Millioni 5 kwa Irene Kiwia na Nancy Sumari wa Frontline Management ili apewe tuzo la Woman of the Year. Inasemekana Mwamvitta alionga hizo hela kwenye party Runnway, na matokeo yake kumshinda mwele malecela katika kinyang'anyiro hicho... kama mambo ndo haya tanzania inaelekea wapi na hawa watoto wa wakina makamba na wakubwa wengine wasio na adabu katika jamii
Tukijakidili kwa undani kidogo, ni kitu gani kizuri Mwamvitta ameifanyia taifa la kitanzania? huyu dada ni mwakilishi tu wa Vodacom anayegawa sukari, madawati na mchele kwenye shule. kazi ambayo mtu yeyote engefanya. inakuwaje wakina mama wanabadilisha sura ya nchi kwa kutetea haki za wanawake, wanyimwe tuzo kama hizo, wanawake wanaohatarisha maisha yao wa TAMWA wananyimwa na mdada ambaye kila kukicha yuko twanga pepeta na kwenye mitandao apewe tuzo kwa sababu kahonga?
Tukijakidili kwa undani kidogo, ni kitu gani kizuri Mwamvitta ameifanyia taifa la kitanzania? huyu dada ni mwakilishi tu wa Vodacom anayegawa sukari, madawati na mchele kwenye shule. kazi ambayo mtu yeyote engefanya. inakuwaje wakina mama wanabadilisha sura ya nchi kwa kutetea haki za wanawake, wanyimwe tuzo kama hizo, wanawake wanaohatarisha maisha yao wa TAMWA wananyimwa na mdada ambaye kila kukicha yuko twanga pepeta na kwenye mitandao apewe tuzo kwa sababu kahonga?