mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 95
WATANZANIA wenzangu huu ni waraka wangu kwenu, tuache ushabiki wa siasa na tuongelee kilicho na ukweli na kwa maslahi ya wote. Tangu Tanganyika imepata uhuru mpaka ikaungana na Zanzibar na kuzaliwa kwa TANZANIA, matatizo yetu bado yako pale pale pamoja na uhuru kutimiza miaka 50 matatizo yetu yamezidi kua makali.
Jaribu kuangalia hali ya maisha ya mtanzania, chakula cha tabu, umeme tabu, petrol haishikiki, gas juu, mkaa haupatikani, mafuta ya taa juu, angalia shule alizojengewa hamna walim, madawati (wanafunz wanakaa chini), vitendea hamna.
Njoo katika huduma za afya hamna madaktari na waliopo wana maslahi duni matokeo yake wanakimbia nchi, wauguzi hamna, hospital chache, madawa ndo kabisa. Barabara kama nyanja kubwa ktk kukuza uchumi wa taifa na mtanzania kwa ujumla ni mbovu, hata chache tulizokua nazo hazikidhi haja kutokana na uduni wake ktk ujenzi.
Tunaambiwa kilimo kwnza power tiller za mgao kwa bei juu na kwa kujuana, leo katika karne hii mtanzania bado anaishi kwa jembe la mkono. Leo hii CCM ipo madarakan tangu na tangu, wanakiita chama tawala. Kimekua chama cha kutawala watu ila c kuhudumia watanzania na kuwaonyesha kama c kuwafikisha kabisa katk nchi ya asali na maziwa, wamedumisha amani kwel lkn mbona bado maskini sana sisi?
Tuna kila kitu kinachoweza kutuletea maendeleo kuanzia mbuga, madini, mito, mabonde, milima, hali ya hewa, ardhi na vingine vingi lkn bado tunaelea katika dimbwi la umaskin. Napata mshtuko na kujiuliza tunakosea wapi?
Je ni kuwapa CCM dhamana ya kutuongoza au sisi ni wavivu ktk safari ya asali na maziwa? Lkn nagundua watanzania sisi ni waaminifu, wasikivu na wajinga pia, ama mtu unampa dhamana ya kukuongoza kwa ahadi ya hospital anaposhindwa halafu anarudi tena unamsilkiiza wa nini?
Hapa ndipo tunapokosea na tunakosea kwa ujinga na dhiki zetu, tunaogopa mabadiliko, unapewa kilo ya sukari na tshrt halafu anakuja tena baada ya miaka mi 5 kwa ahadi zile zile wakati sukar umeitumia kwa wiki 2 na tshrt imeshachanika na kuitupa, bado unampa dhamana ya kukuongoza kwa ahadi zile zile.
Hapa tunakosea sana ndugu zangu, lakini nagundua pia viongozi tunaowapa dhamana ya kutuongoza ni wabinafsi, walanguzi, matapeli na wezi wa mali ya mtanzania.
Wanaingia mikataba ya siri kwa maslahi yao na watoto wao,angalia RICHMOND,IPTL,TRL,NBC..kweli kiongozi aliepewa dhamana ya kuendesha nchi anauza nyumba za serikali wakati watumishi wapo na wataendelea kuwepo?
Rais mstaafu wa awamu ya tatu amelikosea sana taifa letu, leo taifa linajenga tena nyumba za viongoz zilizouzwa kwa bei ya mshkaki badala ya kupeleka fedha katk shuke zetu, au hospitali zetu na kusaidia watanzania. Richmond kila mtu anaijua na gharama za kuweka mitambo nchini kwetu iwe imezalisha au haijazalisha.
Afadhali analia na kumbuka hivi,EPA,RADA,NDEGE YA RAIS,MISAMAHA YA KODI,UWEKEZAJI WA MIGODI(buzwagi,nyamhongo),KIWIRA,UWEKEZAJI MBUGA YA WANYAMA,KUJILIMBIKIZIA MALI KWA VIONGOZI..,Tanzania haipaswi kua maskini katika kiwango kilichopo.
CCM ni tatizo kwetu na lazima mabadiliko yatokee ili tuipate ile Tanzania tunayoitaka wengi, mwanzo kulikua na CUF leo imetugeuka imefunga ndoa na CCM, tutakimbilia wapi kama siyo CDM?
Leo Dr slaa anazungumza hali halis ya MTz lkn kijana tulie mtegemea Nape anapingana na ukwel aliokua anauona kabla ya kua alipo sasa ni mchumia tumbo ka wengine tuu,TANZANIA LAZIMA TUKUBALI MABADILIKO KATIKA KUPATA NEEMA TA MTANZANIA..
Kwa leo naomba niishie hapa
Tanzania nakupenda, ntakupenda daima.
Jaribu kuangalia hali ya maisha ya mtanzania, chakula cha tabu, umeme tabu, petrol haishikiki, gas juu, mkaa haupatikani, mafuta ya taa juu, angalia shule alizojengewa hamna walim, madawati (wanafunz wanakaa chini), vitendea hamna.
Njoo katika huduma za afya hamna madaktari na waliopo wana maslahi duni matokeo yake wanakimbia nchi, wauguzi hamna, hospital chache, madawa ndo kabisa. Barabara kama nyanja kubwa ktk kukuza uchumi wa taifa na mtanzania kwa ujumla ni mbovu, hata chache tulizokua nazo hazikidhi haja kutokana na uduni wake ktk ujenzi.
Tunaambiwa kilimo kwnza power tiller za mgao kwa bei juu na kwa kujuana, leo katika karne hii mtanzania bado anaishi kwa jembe la mkono. Leo hii CCM ipo madarakan tangu na tangu, wanakiita chama tawala. Kimekua chama cha kutawala watu ila c kuhudumia watanzania na kuwaonyesha kama c kuwafikisha kabisa katk nchi ya asali na maziwa, wamedumisha amani kwel lkn mbona bado maskini sana sisi?
Tuna kila kitu kinachoweza kutuletea maendeleo kuanzia mbuga, madini, mito, mabonde, milima, hali ya hewa, ardhi na vingine vingi lkn bado tunaelea katika dimbwi la umaskin. Napata mshtuko na kujiuliza tunakosea wapi?
Je ni kuwapa CCM dhamana ya kutuongoza au sisi ni wavivu ktk safari ya asali na maziwa? Lkn nagundua watanzania sisi ni waaminifu, wasikivu na wajinga pia, ama mtu unampa dhamana ya kukuongoza kwa ahadi ya hospital anaposhindwa halafu anarudi tena unamsilkiiza wa nini?
Hapa ndipo tunapokosea na tunakosea kwa ujinga na dhiki zetu, tunaogopa mabadiliko, unapewa kilo ya sukari na tshrt halafu anakuja tena baada ya miaka mi 5 kwa ahadi zile zile wakati sukar umeitumia kwa wiki 2 na tshrt imeshachanika na kuitupa, bado unampa dhamana ya kukuongoza kwa ahadi zile zile.
Hapa tunakosea sana ndugu zangu, lakini nagundua pia viongozi tunaowapa dhamana ya kutuongoza ni wabinafsi, walanguzi, matapeli na wezi wa mali ya mtanzania.
Wanaingia mikataba ya siri kwa maslahi yao na watoto wao,angalia RICHMOND,IPTL,TRL,NBC..kweli kiongozi aliepewa dhamana ya kuendesha nchi anauza nyumba za serikali wakati watumishi wapo na wataendelea kuwepo?
Rais mstaafu wa awamu ya tatu amelikosea sana taifa letu, leo taifa linajenga tena nyumba za viongoz zilizouzwa kwa bei ya mshkaki badala ya kupeleka fedha katk shuke zetu, au hospitali zetu na kusaidia watanzania. Richmond kila mtu anaijua na gharama za kuweka mitambo nchini kwetu iwe imezalisha au haijazalisha.
Afadhali analia na kumbuka hivi,EPA,RADA,NDEGE YA RAIS,MISAMAHA YA KODI,UWEKEZAJI WA MIGODI(buzwagi,nyamhongo),KIWIRA,UWEKEZAJI MBUGA YA WANYAMA,KUJILIMBIKIZIA MALI KWA VIONGOZI..,Tanzania haipaswi kua maskini katika kiwango kilichopo.
CCM ni tatizo kwetu na lazima mabadiliko yatokee ili tuipate ile Tanzania tunayoitaka wengi, mwanzo kulikua na CUF leo imetugeuka imefunga ndoa na CCM, tutakimbilia wapi kama siyo CDM?
Leo Dr slaa anazungumza hali halis ya MTz lkn kijana tulie mtegemea Nape anapingana na ukwel aliokua anauona kabla ya kua alipo sasa ni mchumia tumbo ka wengine tuu,TANZANIA LAZIMA TUKUBALI MABADILIKO KATIKA KUPATA NEEMA TA MTANZANIA..
Kwa leo naomba niishie hapa
Tanzania nakupenda, ntakupenda daima.