Tuwe wawazi kidogo, wazo la Ujamaa halikuwa jema kwa ukubwa

Forrest Gump

JF-Expert Member
Jul 2, 2021
592
1,285
Sawa, najua utachoanza kusema, ooh ukabila ulikomeshwa, hakuna civil war, mabeberu wangepindua tena nchi hii, etc. Lakini twende na uhalisia wa matokeo, ni nchi gani iliyokuwa mfuasi wa ukomyunisti (kutoka kwa Mchina na Mrusi) leo ina maendeleo yenye kasi kubwa, bali tu kuwa wahanga wa sera zao (china na russia) ili kujinadi dhidi ya Mmarekani na kujiendeleza kibinafsi kwa kukutupia bidhaa zao.

Muangalie China na Russia leo kimaendeleo, then tuangalie Cuba, Tanzania, Zambia, North Korea etc.

Idea ya kukusanya kila rasili mali iwe chini ya institution moja na kuja na wazo la kuigawanya kwa usawa kwa kila mwananchi haikuwa sawa kwa Nyerere, kwa maana kwa wakati ule govt hawakuwa na uwezo wa kuzimonitor na exploit rasilimali. Pia wananchi wa wakati ule mentallity zao hazikua highly programmed kuwaaminisha maswala ya sera na uchumi shirikishi.

Naelewa Nyerere alikuwa hana imani tena na Western countries, lakini pia haikuwa sababu ya kujiegemeza kwa upande mmoja.

Sawa mzee alikuwa motivated na marxism na akajenga sera yake ya ujamaa, lakini pia alipaswa na kuingiza kidogo na visera ya capitalism ili aje na kitu kipya ambacho naamini kingejenga tumaini jipya.

Malaysia, India, Israel (kablakuwa rafiki wa marekani) na Indonesia walikataa ujinga wa Mmarekani wala wa mchina, lakini walijitahidi kufanya nao kazi wote, naamini leo unaelewa maendeleo yao.

Hakukuwa na haja ya kuogopa kuleta investors, kwa maana yeye alikuwa msomi, angesimamia mikataba yote na hakikisha inakabidhiwa chini ya umoja wa mataifa. Pesa za investors zingesaidia kuimaalisha miundombinu na kilimo ambacho mzee alikipigania.

Tumekuwa kutoka vizazi na vizazi tukiaminishwa jinsi gani wazungu wa wastern walivyo wabaya, lakini hatukuambia ubaya wa Mchina na Mrusi. Leo tumefaidika nini kiuchumi na kujiegemeza na sera za Marxism na Leninism.

Kwa upande wangu hizi ni athari mbaya za Ujamaa zilizobaki katika vizazi vyetu.

1: Hatuko exposed na dunia. Ndio maana wengi hatuna ubunifu makazini, level ya confideallity ipo chini.

2: Nidhamu ya woga. Hatuhoji na hatukonyuma ya wale wanahoji.

3: Tumezoea na ku-embrace umasikini wetu. Babu alitumia randa ya mkono, baba randa ya mkono, mwana randa ya mkono, mjukuu randa ya mkono.

4: Kuchelewa kwa Maendeleo ya sekta binafsi. Naamini uchumi ungekuwa exposed kuangia hata 70s Tanzania tungekuwa na makmpuni mengi yanayodeal internally na externally.

5: Bado tuko connected na kupambana na vitu tulivyoelemishwa au directed kufanya. Hadi leo tunapambana na kuboresha kilimo wakati ethiopia wana export chai na wana baod wana International airline.

6: Tulichelewa kunufaika na faida za rasilimali zetu, na zilizovyokuja kuwa wazi zikawamonitored hovyo na wajanja wakawa wanakula kuku kwa mlija.

By the way, Long Live Nyerere, Mwanadamu hawezi kuwa mkamilifu na hata kama akijaribu wanaomzunguka watamuangusha.
 
Sio kweli, Ujamaa haukufanyi uone haki yako kuwa ni favor.
Ujamaa unakufanya uone haki yako ni favor.

Inabidi uombe kila kitu. Na uinyenyekee serikali yako.

Nyerere alikosea sana kuleta ujamaa Tanzania.
Socialism--like democracy--is an attitude of mind.

In a socialist sociecty it is the socialist attitude of mind, and not the rigid adherence to a standard political pattern, which is needed to ensure that the people care for each others welfare.

Nyerere alisema kuwa Milionare anaweza kuwa Mjamaa mzuri.

In a socialist society, it is not efficiency of production, nor the amount of wealth in a country, which make millionaires; it is the uneven distribution of what is produced.
 
Self reliance and socialist party (ssp) au chama cha ujamaa na kujitegemea (cuk) ni chama changu kipya baada ya katiba mpya kupatikana!!

Kitarudisha msingi ya nchi yetu katiba kujitegemea na rasilimali zitarudi kwa wananchi rasmi!!!

Ujinga wa kutegemea mabeberu utaisha katika nchi yangu Tanzania!!!

Jkt na magereza ndio kitovu cha uchumi na IZALISHAJI katika Tanzania mpya nitakayo iongoza!!

Misingi lazima irudishwe rasmi ujamaa na kujitegemea!!

"Mzee WARIOBA arudishwe KWENYE kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Self reliance and socialist party (ssp) au chama cha ujamaa na kujitegemea (cuk) ni chama changu kipya baada ya katiba mpya kupatikana!!

Kitarudisha msingi ya nchi yetu katiba kujitegemea na rasilimali zitarudi kwa wananchi rasmi!!!

Ujinga wa kutegemea mabeberu utaisha katika nchi yangu Tanzania!!!

Jkt na magereza ndio kitovu cha uchumi na IZALISHAJI katika Tanzania mpya nitakayo iongoza!!

Misingi lazima irudishwe rasmi ujamaa na kujitegemea!!

"Mzee WARIOBA arudishwe KWENYE kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike
Katiba si Muhimu sana

It is obvious, however, that if we are to make progress towards Development goals, we in Tanzania must accept the realities of our present position (Katiba iliyopo), internally and externally, and then work to change these realities into something more in accord with our desires.

And the truth is that our United Republic has at present a poor, undeveloped, and agricultural economy.

We have very little capital to invest in big factories or modern machines; we are short of people with skills and experience.

What we do have is land in abundance and people who are willing to work hard for their own improvement. It is the use of these resources which will decide whether we reach our total goals or not.

If we use these resources in a spirit of self-reliance (Kujitegemea) as the basis for development, then we shall make development slowly but surely.

It will then be real progress, affecting the lives of masses, not just having spectacular show-pieces in the towns and cities while the rest of the people of Tanzania live in their present Poverty
 
Sawa, najua utachoanza kusema, ooh ukabila ulikomeshwa, hakuna civil war, mabeberu wangepindua tena nchi hii, etc. Lakini twende na uhalisia wa matokeo, ni nchi gani iliyokuwa mfuasi wa ukomyunisti (kutoka kwa Mchina na Mrusi) leo ina maendeleo yenye kasi kubwa, bali tu kuwa wahanga wa sera zao (china na russia) ili kujinadi dhidi ya Mmarekani na kujiendeleza kibinafsi kwa kukutupia bidhaa zao.

Muangalie China na Russia leo kimaendeleo, then tuangalie Cuba, Tanzania, Zambia, North Korea etc.

Idea ya kukusanya kila rasili mali iwe chini ya institution moja na kuja na wazo la kuigawanya kwa usawa kwa kila mwananchi haikuwa sawa kwa Nyerere, kwa maana kwa wakati ule govt hawakuwa na uwezo wa kuzimonitor na exploit rasilimali. Pia wananchi wa wakati ule mentallity zao hazikua highly programmed kuwaaminisha maswala ya sera na uchumi shirikishi.

Naelewa Nyerere alikuwa hana imani tena na Western countries, lakini pia haikuwa sababu ya kujiegemeza kwa upande mmoja.

Sawa mzee alikuwa motivated na marxism na akajenga sera yake ya ujamaa, lakini pia alipaswa na kuingiza kidogo na visera ya capitalism ili aje na kitu kipya ambacho naamini kingejenga tumaini jipya.

Malaysia, India, Israel (kablakuwa rafiki wa marekani) na Indonesia walikataa ujinga wa Mmarekani wala wa mchina, lakini walijitahidi kufanya nao kazi wote, naamini leo unaelewa maendeleo yao.

Hakukuwa na haja ya kuogopa kuleta investors, kwa maana yeye alikuwa msomi, angesimamia mikataba yote na hakikisha inakabidhiwa chini ya umoja wa mataifa. Pesa za investors zingesaidia kuimaalisha miundombinu na kilimo ambacho mzee alikipigania.

Tumekuwa kutoka vizazi na vizazi tukiaminishwa jinsi gani wazungu wa wastern walivyo wabaya, lakini hatukuambia ubaya wa Mchina na Mrusi. Leo tumefaidika nini kiuchumi na kujiegemeza na sera za Marxism na Leninism.

Kwa upande wangu hizi ni athari mbaya za Ujamaa zilizobaki katika vizazi vyetu.

1: Hatuko exposed na dunia. Ndio maana wengi hatuna ubunifu makazini, level ya confideallity ipo chini.

2: Nidhamu ya woga. Hatuhoji na hatukonyuma ya wale wanahoji.

3: Tumezoea na ku-embrace umasikini wetu. Babu alitumia randa ya mkono, baba randa ya mkono, mwana randa ya mkono, mjukuu randa ya mkono.

4: Kuchelewa kwa Maendeleo ya sekta binafsi. Naamini uchumi ungekuwa exposed kuangia hata 70s Tanzania tungekuwa na makmpuni mengi yanayodeal internally na externally.

5: Bado tuko connected na kupambana na vitu tulivyoelemishwa au directed kufanya. Hadi leo tunapambana na kuboresha kilimo wakati ethiopia wana export chai na wana baod wana International airline.

6: Tulichelewa kunufaika na faida za rasilimali zetu, na zilizovyokuja kuwa wazi zikawamonitored hovyo na wajanja wakawa wanakula kuku kwa mlija.

By the way, Long Live Nyerere, Mwanadamu hawezi kuwa mkamilifu na hata kama akijaribu wanaomzunguka watamuangusha.
Ujamaa unawabeba wavivu, ila kama wote mkiwa wapambanaji ujamaa ni mzuri Zaidi, tatizo haiwezekani wote kua wapambanaji lazima kuna watakaotegea tu
 
Nami najiuliza sana tulikosewa wapi kama nchi?,President Khama na President Nyerere wote hawa wamesoma England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿, why walipo rudi kwenye nchi zao,nchi hizi zimekua tofauti kabisa?,President Khama anamudu kuweka misingi ya raia wake kuchukia rushwa na anafanikiwa,President Nyerere naye anakemea rushwa but anashindwa na rushwa inatamalaki nchini, kama nchi turudi kwenye miaka ya 70s na tuanze kuangalia tulikokosea ili turudi upya kwenye msitari
 
Nami najiuliza sana tulikosewa wapi kama nchi?,President Khama na President Nyerere wote hawa wamesoma England 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿, why walipo rudi kwenye nchi zao,nchi hizi zimekua tofauti kabisa?,President Khama anamudu kuweka misingi ya raia wake kuchukia rushwa na anafanikiwa,President Nyerere naye anakemea rushwa but anashindwa na rushwa inatamalaki nchini, kama nchi turudi kwenye miaka ya 70s na tuanze kuangalia tulikokosea ili turudi upya kwenye msitari
Kweli kabisa, tatizo ni Misingi ya anae implement sera, wanao enforce sera na wanao ipokea sera.
 
Sio kweli, Ujamaa haukufanyi uone haki yako kuwa ni favor.

Socialism--like democracy--is an attitude of mind.

In a socialist sociecty it is the socialist attitude of mind, and not the rigid adherence to a standard political pattern, which is needed to ensure that the people care for each others welfare.

Nyerere alisema kuwa Milionare anaweza kuwa Mjamaa mzuri.

In a socialist society, it is not efficiency of production, nor the amount of wealth in a country, which make millionaires; it is the uneven distribution of what is produced.
Magufuli alikuwa muumini wa mawazo ya kimasikini ambao ni ujamaa.

Wafanyabiashara walikuwa maadui wake.

Azimio la Arusha si alilileta Nyerere? Watu wakatupa hela zao barabarani?

Nyerere was the most terrible person this country ever had. Bora hata hao wakoloni ila sio huyo mjamaa.
 
Kumbukeni Nyerere alipambana na wazungu direct hivyo aliwakinai wazungu hakutaka hata waje wawekeze.Pia alipitia madhila mengi ya ubaguzi.
 
Back
Top Bottom