Vita baridi ipi?! Nchi imepewa Uhuru bila kumwaga Damu,unaenda kuungana na kisiwa unapoteza identity Yako ya utanganyika? Mshana Jr,think beyond the box. Ukitaka Ardhi kisiwani hupata ya kununua na kumiliki,unakuwa treated kama investor,wao huku wanajimilikisha!Kwa mazingira ya vita baridi iliyokuwepo wakati huo sina lawana na Mchonga
Hivi unajua Kuanzia mwaka jana airport ya Zanzibar ndiyo.inapokea wagenii wengi zaidi kuliko ya Dar?Watalii wengi wanakuja Tanzania kwa ajili ya Serengeti, Ngorongoro na Mlima Kilimanjaro na sio kwa ajili ya hicho kijiji cha maghofu yaliyopakwa chokaa
Hapana mkuu sikua na jazba, na kumbuka vitabu huandikwa na binaadamu kama sisi, ‘biasness’ inaweza tokea.Hajatoa lake moja kichwani mwake yote yametoka kitabu cha kanisa Katoliki. Itakuwa unamsikiliza kwa jaziba au umetumwa
Tax policy centerTupe ukweli
Hili ni moja ya tatizo kubwa sana Waislam tuko nalo.Ni chuki tu kwa waislamu hakuna chengine
Vitabu vimeandikwa na Padri Peter Smith wa Kanisa Katoliki na Kanisa Katoliki halikutoa kauli yoyote ya kukipingaHapana mkuu sikua na jazba, na kumbuka vitabu huandikwa na binaadamu kama sisi, ‘biasness’ inaweza tokea.
Ila nimeuliza maswali kutokana na hoja zake bado hujanijibu.
Sidhani kama wewe kweli ni muislamu au Uislamu huujuiHili ni moja ya tatizo kubwa sana Waislam tuko nalo.
Sawa mkuu, nijibu hili basi naona unalikumbiaVitabu vimeandikwa na Padri Peter Smith wa Kanisa Katoliki na Kanisa Katoliki halikutoa kauli yoyote ya kukipinga
Yeye hakutoa hoja yoyote zaidi ya kukisoma mbele ya watu. Usitafute ubishi kuna na Padre mwingine anaitwa Sivallon kaandika zaidi ya hayo
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa | Idadi ya Waislam | |
Algeria 🇩🇿 |
| |
Misri 🇪🇬 |
| |
Libya 🇱🇾 |
|
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa | Idadi ya Wakristo | |
Angola 🇦🇴 |
| |
Zimbabwe 🇿🇼 | 84% | |
Zambia 🇿🇲 |
|
Mtu haachi kuwa muislam ati kisa umetofautiana nae mtizamo wa kisiasa mkuu.Sidhani kama wewe kweli ni muislamu au Uislamu huujui
Sawa mkuu, nijibu hili basi naona unalikumbia
“Lakini kwa hoja hiyo utaelezeaje ujamaa ulioingizwa kwenye nchi zenye waislam wengi? Na zile zenye Wakristo wengi?
Je, huko kwenye Wakristo wengi ‘Kanisa’ lilitaka kumpora nani mali?
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa Idadi ya Waislam Algeria 🇩🇿
98% Misri 🇪🇬
90% Libya 🇱🇾
97%
Achilia mbali hapo, vipi kuhusu nchi zenye wakristo wengi? Waliweka ujamaa ili kumkomoa nani?
Nchi iliyowahi kuwa ya kijamaa Idadi ya Wakristo Angola 🇦🇴
95% Zimbabwe 🇿🇼 84% Zambia 🇿🇲
87%
Tafadhali nipe majibu.”
Vita baridi kati ya nan na nan?Kwa mazingira ya vita baridi iliyokuwepo wakati huo sina lawana na Mchonga
Sawa mkuu twende taratibu. Nina shahada ya Sayansi ya Siasa na Historia toka chuo kikuu cha Dar es Salaam mkuu.Wewe hata ujamaa unaujua ? Ulisoma wapi ?
Ujamaa wa Nyerere aliuita African socialism chanzo chake ni kanisani
Hiyo ni dhana yangu tu kwa unayoyaandika kumwona mshirikishaji wa Mungu kuwa hakufanya makosa kuwadhulumu WaislamuMtu haachi kuwa muislam ati kisa umetofautiana nae mtizamo wa kisiasa mkuu.
Mtu huacha kuwa Muislam kwa kumshirikisha Mungu.
Ukiacha madai ha bwana Peter, kuna ‘case studies’ zozote zinazoonesha Waislam walilengwa kufilisiwa kwa sababu ya dini yao?Hiyo ni dhana yangu tu kwa unayoyaandika kumwona mshirikishaji wa Mungu kuwa hakufanya makosa kuwadhulumu Waislamu
Simtetei Mwalimu, nipo hapa kuhakikisha watu hawatumii ukosefu wa Data kupotosha wengine.Hiyo ni dhana yangu tu kwa unayoyaandika kumwona mshirikishaji wa Mungu kuwa hakufanya makosa kuwadhulumu Waislamu
Mimi ujamaa wa Nyerere sikuusoma darasani nimeusoma maishani kwa vitendo. Isipokuwa ujamaa niliousoma nimeusoma Nchi moja ya Kikomunisti yaani Marxism huko UlayaSawa mkuu twende taratibu. Nina shahada ya Sayansi ya Siasa na Historia toka chuo kikuu cha Dar es Salaam mkuu.
Ujamaa wa nyerere kanuni/misingi yake ni ipi?
(Ninataka twende taratibu kisha tuelewane mkuu, hatukomoani)