Hata kama ukiwa haupendi kiukweli magufuli anakubalika na wananchi wa hali ya chini waliokuwa wanadhulumiwa haki zao. Ndani ya muda mchache ameinyesha kuwa nu mtetezi wa wanyonge.
Umejuaje kama nina maisha ya juu??
Hata kama ukiwa haupendi kiukweli magufuli anakubalika na wananchi wa hali ya chini waliokuwa wanadhulumiwa haki zao. Ndani ya muda mchache ameinyesha kuwa nu mtetezi wa wanyonge.
Hatuhungi mkono porojo, kila mtu anaweza kuongea, na uhalali wa yeye kuwa hapio na kuongea unatoka wapi? angekuwa msafi asingekubali kukalia kiti kisicho chake
Hata kama ukiwa haupendi kiukweli magufuli anakubalika na wananchi wa hali ya chini waliokuwa wanadhulumiwa haki zao. Ndani ya muda mchache ameinyesha kuwa nu mtetezi wa wanyonge.
Hata kama ukiwa haupendi kiukweli magufuli anakubalika na wananchi wa hali ya chini waliokuwa wanadhulumiwa haki zao. Ndani ya muda mchache ameinyesha kuwa nu mtetezi wa wanyonge.
kama ni tanzania aanze na hapo zanzibar sio maigizo kitu cha kawaida sana tv zote,magazeti,radio kila saa ukiuliza eti vitanda,kama hakuna dawa na mashine ni mbovu vitanda ni vya mama wajawazito basi na dar peke yake na yeye ndo kaona hayo wengine wa nyuma walikuwa hawaoni,
Baadhi ya vitabu vya dini vinafundisha kwamba binadamu ana njia mbili; ama ile anayoitaka Mwenyezi Mungu ambaye ndiye aliyemuumba au ya shetani. Ni kwa muktadha huo, tunaungana na kauli ya Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe aliyekaririwa na vyombo vya habari likiwemo gazeti hili jana, akisema kwamba mtu yeyote anayempinga Rais Magufuli, maana yake ni kwamba atakuwa unaunga mkono mafisadi, wala rushwa na wabadhirifu.
Mkuu nimeshindwa kukuelewa, mbona umeandika kama unafukuzwa
Kweli wewe ni Mpumbavu na Lofa ...ina maana mpaka saizi bado hujamkubali Magufuli? Hata Kama ameingia kwa njia unayosema wewe mpumbavu. Sisi tunataka Maendeleo sio upumbavu na Ulofa wako. Kwa hiyo wewe ulitaka Nani Awe Rais wa nchi hii ya Wanyonge? Mimi ni mwanajeshi maneno kama hayo yanavunja Amani ambayo tunailinda kwa Nguvu zetu zote.. Ninge kufahamu saizi ungekuwa Jehanamu.
Ni wajinga tu ndiyo watakaokwamisha juhudi za MH. RAIS.