tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
Tulichokisikia na kukiona ni muendelezo wa ujinga na umbumbu la baraza letu la mawaziri yaliyote yaliokosolewa na kurudishwakwa bajeti ya wizarani ya nishati na madini yalipita mbele ya baraza la mawaziri. Ina maana hawajaona upungufu na kasoro za bajeti ya hiyo wizara hadi kufika bungeni na kurudishwa tena.