Tutimize wajibu wetu kwa kujiorodhesha hapa kama hujahesabiwa sensa ili kusaidia serikali

Apr 2, 2012
73
59
:yawn: Mimi nikiwa mmojawapo sijahesabiwa naomba na wengine mjiorodheshe ili serikali iweze kufanya tathmini ni wangapi hawajahesabiwa.

Kwa upande wangu nimesikitishwa na jinsi watu wanavyojibu maswali kwa kutoa taarifa za uongo....mfano mtu anaulizwa ana miaka mingapi anajibu mia na ukimwangalia ana kama 30. mlilala wangapi usiku wa kuamkia jpili anajibu mimi mwenyewe lakini unakuta yuko na watoto wadogo kibao.

Anyway kuna changamoto nyingi kweli.
 
Bado sijahesabiwa na sidhani Kama makarani wanampango wa Kuja kwenye kibanda changu
 
Faida za kuhesabiwa ni nini? Tulihesabiwa mwaka 2002 na leo hii baada ya miaka kumi watoto wa shule za msingi mijini na vijijini wanasomea sakafuni kama sio chini ya miti! najuta nimechelewa kuanzisha kampeni ya kugomea sensa hadi serikali ituthibitishie sensa ya 2002 iliisadiaje kuleta maendeleo!!!! Huwezi kuchezea wananchi kuwa madubwasha ya kuhesabiwa kila bada ya miaka kumi bila lengo lo lote maalum.
 
...............1. I have a dream; .. Makazi- Fyengereza; Jinsia: Mume; Idadi ya wake 6. ..............2. Muonamambo; ... Umri 19,.. Wake wawili.. Kabila - Chinga; Kijiji - Nanguruwe. ..............3. Mpiga zeze... Kazi: kukata Viuno;.. Wake =10, watoto 24; malengo: kuoa wengine!
 
Zoezi halijaenda vizuri,tuwe wakweli sio kila kitu ni ushabiki ,inaonyesha fedha za maandalizi nyingi zimetumika kulipana posho,kati ya ambao hawajahesabiwa ni pamoja na na baadhi ya wakazi wa musoma kwa mujibu wa chanel 10
 
Zoezi halijaenda vizuri,tuwe wakweli sio kila kitu ni ushabiki ,inaonyesha fedha za maandalizi nyingi zimetumika kulipana posho,kati ya ambao hawajahesabiwa ni pamoja na na baadhi ya wakazi wa musoma kwa mujibu wa chanel 10

wanaisoma kimyakimya,,,,,,LIFANIKIWE LISIFANIKIWE HALINA TIJA,,,,SIE TUENDELEE KUHANGAIKA KUTAFUTA RIZIKI YA UNGA
 
Faida za kuhesabiwa ni nini? Tulihesabiwa mwaka 2002 na leo hii baada ya miaka kumi watoto wa shule za msingi mijini na vijijini wanasomea sakafuni kama sio chini ya miti! najuta nimechelewa kuanzisha kampeni ya kugomea sensa hadi serikali ituthibitishie sensa ya 2002 iliisadiaje kuleta maendeleo!!!! Huwezi kuchezea wananchi kuwa madubwasha ya kuhesabiwa kila bada ya miaka kumi bila lengo lo lote maalum.

ni kweli MZ,sensa hapo ndo inapoonekana haina tija mdau,na ndo maana wadau wengi hawakupenda kujiandikisha
 
watu vigeugeu sana, wakati waislamu wanahamasishana kugomea sensa watu mapovu yalikuwa yanawatoka wakadai sensa kwa maendeleo, leo hii hata mwezi bado mnaanza ku-lament, kumbe inawezekana watu walikuwa na chuki binafsi tu eti?
 
watu vigeugeu sana, wakati waislamu wanahamasishana kugomea sensa watu mapovu yalikuwa yanawatoka wakadai sensa kwa maendeleo, leo hii hata mwezi bado mnaanza ku-lament, kumbe inawezekana watu walikuwa na chuki binafsi tu eti?


Mkuu, hivi wewe ulidhani wanaowaponda waislamu kuhusu kuhesabiwa, wao wanajua maana ya kuhesabiwa??? hakuna lolote wanafiki tu, tangu lini serikali ya ccm majambazi/mafisadi ikatumia takwimu kwa aijri ya maendeleo??? wote wanajua hivyo, anzia kwa maaskofu, waumini wao, mpaka maswahiba zao bakwata, wanajua zoezi la sensa ni unafiki hakuna lolote. ILA KILICHOFANYIKA NI WATU KUWATUKANA WENZAO KWA KISINGIZIO CHA SENSA KWA MAENDELEO. HAKUNA LOLOTE HAPO, TUSIDANGANYANE.
 
watu vigeugeu sana, wakati waislamu wanahamasishana kugomea sensa watu mapovu yalikuwa yanawatoka wakadai sensa kwa maendeleo, leo hii hata mwezi bado mnaanza ku-lament, kumbe inawezekana watu walikuwa na chuki binafsi tu eti?

hapo swala sio kuwapinga tu ila sababu waliyokuwa wanaitumia ya kipengele cha dini ndio kilikuwa hakina mashiko. Ila kama wangegoma kwa sababu sensa ya 2002 haikuwa na tija kwa mtanzania wa hali ya chini hapo wangepata ushirikiano kwa raia wengi ambao ni wadau wa maendeleo
 
Back
Top Bottom