Arusha Mambo
Senior Member
- Jan 27, 2011
- 174
- 150
Kufuatia maombi ya Watanzania wengi hasa waishio nje ya Tanzania, Arusha Mambo tutarudio Kipindi cha Bajeti ya Mwaka 2012 - 2013 iliyosomwa Bungeni Dodoma siku ya Alhamisi tarehe 14, Agosti.
Hotuba hiyo itaanza kusikika kuanzia Sa 10.15jioni ya leo.
tembelea www.arushamambo.com click "Sikiliza Arusha Mambo FM..." redio ikifunguka kwenye Page ya Tune IN tafadhali click LIKE au toa maoni yako kupitia info@arushamambo.com
Arusha Mambo itarusha vipindi vyote vya Bunge vya Asubuhi (Saa 3as - 7mch) na Jioni (Saa 10jn - hadi Bunge litakapomalizika Agosti 22.2012
Arusha Mambo
Hotuba hiyo itaanza kusikika kuanzia Sa 10.15jioni ya leo.
tembelea www.arushamambo.com click "Sikiliza Arusha Mambo FM..." redio ikifunguka kwenye Page ya Tune IN tafadhali click LIKE au toa maoni yako kupitia info@arushamambo.com
Arusha Mambo itarusha vipindi vyote vya Bunge vya Asubuhi (Saa 3as - 7mch) na Jioni (Saa 10jn - hadi Bunge litakapomalizika Agosti 22.2012
Arusha Mambo