Nova Kambota
Member
- Nov 12, 2009
- 62
- 1
Kadri mjadala wa katiba mpya unavyozidi kupamba moto kila kona ya nchi hii ni muhimu sasa tukapiga hatua mbele kwa kuanza kutafakari je tunahitaji katiba ya namna gani? ikzingatiwa kuwa la muhimu sio katiba tu bali katiba bora inayotokana na watanzania wote na inayokidhi mahitaji ya sasa ya watanzania.......ni muhimu sasa tukautanua mjadala wetu kwa kuanza kutazama upande wa pili wa aina ya katiba tunayoitaka kwani no one can stop the storm katiba mpya ni lazima tu .
Nova Kambota is back on JAMII FORUM enjoy his views and logical arguments
Nova Kambota is back on JAMII FORUM enjoy his views and logical arguments