Tutaacha lini kuwanyenyekea WAZUNGU???

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
71,373
95,226
Hii picha inazungumza yote, hebu mwangalie kulia Mkurugenzi Idara Habari Maelezo Assah Mwambene na kushoto Afisa mawasiliano wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa unyenyekevu uliotukuka wakiwa wamejikunyata kama kuku aliyetoteshwa na mvua za vuli. Hapo walikuwa wakitoa zawadi ya shati kwa huyo mzungu Bw. David Wiggins.

Sasa zawadi watoe wao na bado wanakosa kujiamini...khaaa!!!
.


6---wiggins(kati)+Assah(kulia)+judith+mhina.JPG
 
hapo washachakachua mradi wanamdanganyishia na shati....wabongo kitu kingine kabisa
 
hili ni tatizo sana mkuu_CEO wetu hapa kijiweni kwangu ni mzungu(mmarekani)...yaani kila kitu ni ndio mzee hata kama ni pumba ni amen_amen_amen,...pitfall so to speak...i wish kama ningekuwa kwenye top management.
 
Hahahah usiseme kwa nguvu maana nina undugu wa karibu na huyo jamaa, akijua ni mimi nimemuweka hapa ninalo...na ameniboa kweli

ahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa_yani nimesoneka sana
 
jamani huyo mama ndio na mabega yamepanda juu? hahahahaahahaahahaah. Mh! watu8
 
Last edited by a moderator:
Hahahah usiseme kwa nguvu maana nina undugu wa karibu na huyo jamaa, akijua ni mimi nimemuweka hapa ninalo...na ameniboa kweli

mi nakasirikaga mimi!ah!
sasa hapo sijui ndo nini?
yale yaleeeeeeeeeeee ya kupiga magoti huku unasema "good morning!"
 
Hahahah halafu mtani kwani hujasikia kuna muheshimiwa mmoja huko Kenya kamuamkia shikamoo Mh. Rutto, yote ni kuchachwa tu...wapekuzi kuja kupekuwa wamegundua huyo mwanamama ni mkubwa kwa mwaka mmoja kumzidi Rutto.

mi nakasirikaga mimi!ah!
sasa hapo sijui ndo nini?
yale yaleeeeeeeeeeee ya kupiga magoti huku unasema "good morning!"
 
Gwa myitu leka itolo...ankosisye isoni loh!
Najua nikitaja tu undugu uliopo atajua tu ni mimi hahahah, ngoja nindelee kupiga kimya maana!!

ahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa_yani nimesoneka sana
 
Hahahah yaani hapo anatetemeka...
"Chukua tu baba, chukua tu hako kazawadi kadogo...ndio tulikonako....."
Nadhani atakuwa anasema hivyo kwa lugha ya Umombo...

jamani huyo mama ndio na mabega yamepanda juu? hahahahaahahaahahaah. Mh! watu8
 
Back
Top Bottom