Tusipopata UKWELI huu Wengi tutaihama CHADEMA

Mimi binafsi nisipofahamu yafuatayo nitabaki mwananchi asiye na chama chochote, kwanza kwa nini chadema tuendelee kupanga jengo la makao makuu? Kwa nini tusijenge wenyewe? Je lini chuo cha uongozi cha chama kitajengwa? Je gazeti la chama litaanzishwa lini? Badala ya kuendelea kutumia gazeti la mh. Mbowe? Je kwa nini m4c zimesimama? Nisipopata majibu haya ya kuridhisha nitakuwa mwananchi huru without to support magamba or magwanda! Tanganyika kwanza!
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Mmmh.....sounds fishy....gambalized huh?
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Wewe sema kweli utahama CDM au utarudi kwenu CCM?

 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Rusuku ni sh ngapi cdm inapata?Ukomo wa uongozi hauzungumzwi na katiba.Kiongozi anae ngojea kupewa nafasi,badala ya kutafuta mwenyewe,hafai.Nakushauri uhamie tlp maana hautufai. jinga mkubwa.
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.
Mimi naamini CDM haina wanachama sugu bali ina wanachama wanaoamini katika haki usawa na ukombozi wa mtanzania.Huu uanachama sugu nadhani ndio chimbuko la mawazo yako ya kutaka majibu kwa kutoa masharti.
Mimi naona si busara kutanguliza masharti kabla hujaeleweka,na unaweza kupachikwa jina kutokana na kichwa cha habari ya uzi uliouleta kama mmojawapo wa wahujumu wa CDM.
Nawahasa wana CDM kuwa makini na watu walioamua kubadilisha ID zao humu JF ili kutimiza malengo yao ya kuona CDM inakufa na wezi wanaendelea kuiibia nchi hii bila huruma.
 
Tembea zako mbele kama umechoka na CDM kuna zaidi 20 Tanzania hamia ile itakayo kithi haja yako.
CDM hakuna buku saba Kamanda ulitumwa mwambie hatumo
 
Jisemee mwenyewe lakn mapenzi yangu kwa CDM yanazidi kuimarika siku hadi siku
 
Mimi binafsi nisipofahamu yafuatayo nitabaki mwananchi asiye na chama chochote, kwanza kwa nini chadema tuendelee kupanga jengo la makao makuu? Kwa nini tusijenge wenyewe? Je lini chuo cha uongozi cha chama kitajengwa? Je gazeti la chama litaanzishwa lini? Badala ya kuendelea kutumia gazeti la mh. Mbowe? Je kwa nini m4c zimesimama? Nisipopata majibu haya ya kuridhisha nitakuwa mwananchi huru without to support magamba or magwanda! Tanganyika kwanza!

nadhani nipo katika boti moja na ww mkuu.
 
Mimi binafsi nisipofahamu yafuatayo nitabaki mwananchi asiye na chama chochote, kwanza kwa nini chadema tuendelee kupanga jengo la makao makuu? Kwa nini tusijenge wenyewe? Je lini chuo cha uongozi cha chama kitajengwa? Je gazeti la chama litaanzishwa lini? Badala ya kuendelea kutumia gazeti la mh. Mbowe? Je kwa nini m4c zimesimama? Nisipopata majibu haya ya kuridhisha nitakuwa mwananchi huru without to support magamba or magwanda! Tanganyika kwanza!
Ndugu "ukikuta nzi au mende kafia kwenye maziwa usidhani alienda pale ili afe bali anaenda ili ale matokeo yake anafia hapo kabla ya kula" Binafsi sioni sababu ya CDM kujenga ofisi wakati huu,CDM haikurupuki inaenda kwa vipaumbele
Naomba ukiweza jiulize ni chama gani nje ya ccm chenye gazeti la chama,jengo la chama n.k? Nikuulize tena ni gazeti gani la ccm lililoanzishwa baada ya mfumo wa vyama vingi? ikiwa ni pamoja na ujenzi wa majengo au viwanja vya chama ukiacha vile vya serikali ya chama kimoja vilivyobinafsishwa kwa ccm bila idhini ya watanzania tunaolipa kodi.
Wakati huu ni wa kuimarisha chama sio wa kujenga majengo wala kuanzisha magazeti.Kuna faida gani kuanzisha gazeti kwa garama na kesho likafungiwa kwa idhini ya waziri wa serikali ya chama tawala ambao CDM ni wapinzani wao,kama unapitia sheria ya magazeti.
Ni nani anatumia mtaji kujenga duka kisha akakosa fedha ya kununulia bidhaa za kuuza ili apate faida.
Si wote wanaopanga maduka K'koo na kwingineko ni maskini bali wanaangalia vipaumbele.
CDM ikitumia fedha za ruzuku kujenga maofisi na kuanzisha magazeti haitakuwa na faida kwa watanzania hasa wa vijijini.
Pia CDM haitaendelea kwa kutumia movement moja tu yaani M4C,movement ni nyingi hapa unaweza kuuliza,lipi litaendelea baada ya M4C?
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

Huna hata haja ya kujiuliza marambili.we hama tu salia...
 
Salam wanaJF, Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya: 1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo 2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama 3.Mapato na matumizi ya chama 4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali. 5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama. Nawasilisha.
we ni sawa na chawa au kichaa tu
 
Ndugu "ukikuta nzi au mende kafia kwenye maziwa usidhani alienda pale ili afe bali anaenda ili ale matokeo yake anafia hapo kabla ya kula" Binafsi sioni sababu ya CDM kujenga ofisi wakati huu,CDM haikurupuki inaenda kwa vipaumbele
Naomba ukiweza jiulize ni chama gani nje ya ccm chenye gazeti la chama,jengo la chama n.k? Nikuulize tena ni gazeti gani la ccm lililoanzishwa baada ya mfumo wa vyama vingi? ikiwa ni pamoja na ujenzi wa majengo au viwanja vya chama ukiacha vile vya serikali ya chama kimoja vilivyobinafsishwa kwa ccm bila idhini ya watanzania tunaolipa kodi.
Wakati huu ni wa kuimarisha chama sio wa kujenga majengo wala kuanzisha magazeti.Kuna faida gani kuanzisha gazeti kwa garama na kesho likafungiwa kwa idhini ya waziri wa serikali ya chama tawala ambao CDM ni wapinzani wao,kama unapitia sheria ya magazeti.
Ni nani anatumia mtaji kujenga duka kisha akakosa fedha ya kununulia bidhaa za kuuza ili apate faida.
Si wote wanaopanga maduka K'koo na kwingineko ni maskini bali wanaangalia vipaumbele.
CDM ikitumia fedha za ruzuku kujenga maofisi na kuanzisha magazeti haitakuwa na faida kwa watanzania hasa wa vijijini.
Pia CDM haitaendelea kwa kutumia movement moja tu yaani M4C,movement ni nyingi hapa unaweza kuuliza,lipi litaendelea baada ya M4C?
mkuu unafahamu gharama ya kulipa pango kwa jiji kama dar? Je unadhani gazeti la mh. Mbowe la tanzania daima linaandika habari za chadema bure? Na kama sio bure ni kiasi gani chama kinalipa? Je huoni gazeti litakiongezea chama mapato? Kwa nini ufananishe mipango ya ccm na chadema? Je kwa vile vyama vingine havina magazeti tuendelee tu vile? Je hujui kama chama kikiwa na media kitajieneza viizuri? Mkuu vipi chuo chama? Chadema lazima waonyeshe tofauti ya wao na ccm kwa kivitendo, kama hawatoona tofauti watatafuta kwenye vyama vingine!
 
Tulishasema,atakayehoji pesa na uongozi sisi kazi yetu ni kumwigamba tu. naona na wewe unga wa ndere umepungua kichwan na unaanza kuhoji.

Dah! Hii ndio chadema bana! Ni zaidi ya uijuavyo! Duh! Kwani Mwigamba mmemfanyaje? Maana kapotea! Au mmesham chacha wangwe nini?
 
Salam wanaJF,

Katika nagzi za uatwala bora na uwajibikaji ni pamoja na ushirikishwaji, uwazi na kujali haki kwa wote. Sie wafuasi sugu wa CDM tunaomba tupewe ukweli kwa yanayojiri kwenye vyombo vya habari na pia uchaguzi ujao. Tunahitaji kujua haya:

1. Mipango ya chama kuwa na ofisi yake bila kukodisha kwani kinapokea ruzuku toka serikalini na hakuna sababu ya kukodisha majengo kwani uwezo wa kuwa na ofisi mikoani upo
2. Ukomo wa uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama
3.Mapato na matumizi ya chama
4.Mafanikio ya wabunge wa cham kwa umma japo tunafahamu fika kuwa CCM ndio inayotekeleza sera zake kwani ndyo chama kinachounda serikali.
5. Je kwa nini Zitto Zuberi Kabwe hapewi nafasi kama Naibu Katibu Mkuu wa Chama.


Nawasilisha.

1. Unataka uambiwe mipango ya chama kujenga ofisi wewe ni nani? kila kitu kina taratibu zake na sehemu muhimu ya kujadili masuala ya CHADEMA ni kwenye vikao vyake

2. Ukomo wa uongozi tafuta katiba uisome utaelewa nini kilichoandikwa unapotaka uambiwe huo ni uzuzu kwani kama mwanachama lazima utakuwa na katiba na utakuwa umeisoma na kuielewa.

3. Mapato na matumizi taarifa zake zinatolewa katika vikao vya chama na zipo katika ofisi za makao makuu ya chama nenda ukaombe upewe lakini kwa sababu unaandika huku ukiwa umejificha ID hauwezi kufanya hivyo kwa sababu ya unafiki

4. Zitto sio kama hapewi nafasi isipokuwa ni yeye asiyewajibika katika nafasi yake kwa sababu ya kujitenga kwake na kujiingiza katika kuunda vikundi vya uasi ndani ya chama.
 
Back
Top Bottom