Kama mkataba ni mbaya na ni wa milele,
Turufu yetu ya kwanza kujitoa ilikuwa kupingwa na bunge ingekuwa wazi kwamba mchakato wa kisheria haukamiliki kwa mtu mmoja kutia saini.
Hiyo wabunge wetu wanajigamba kuwa magwiji wa sheria hawakuona.
Sasa ni kuunda timu ya kuchunguza ambayo itaibuka na tuhuma za rushwa kwa watu waliohusika kusaini na hiyo itatupa nguvu ya kuukataa na hawa jamaa wakitupeleka mahakama yoyote kimataifa hoja zao hazitakuwa na mashiko.
Cha msingi tusisikilize wanasheria wetu, wengi ni mbumbu wamezoea kesi za kutolea watu dhamana segerea ila hapa tunahitaji watu wa kutuambia ni jambo gani ambalo likibainika lilifanyika mkataba unakuwa umeisha nguvu.
Moja ni kuonyesha kuna mchezo mchafu ulifanyika na tujue taratibu za kimataifa zinataka unapobaini hilo unatakiwa kufanya nini na sisi tutimize matakwa hayo karatasi tulilosaini liendelee kuwa karatasi
Turufu yetu ya kwanza kujitoa ilikuwa kupingwa na bunge ingekuwa wazi kwamba mchakato wa kisheria haukamiliki kwa mtu mmoja kutia saini.
Hiyo wabunge wetu wanajigamba kuwa magwiji wa sheria hawakuona.
Sasa ni kuunda timu ya kuchunguza ambayo itaibuka na tuhuma za rushwa kwa watu waliohusika kusaini na hiyo itatupa nguvu ya kuukataa na hawa jamaa wakitupeleka mahakama yoyote kimataifa hoja zao hazitakuwa na mashiko.
Cha msingi tusisikilize wanasheria wetu, wengi ni mbumbu wamezoea kesi za kutolea watu dhamana segerea ila hapa tunahitaji watu wa kutuambia ni jambo gani ambalo likibainika lilifanyika mkataba unakuwa umeisha nguvu.
Moja ni kuonyesha kuna mchezo mchafu ulifanyika na tujue taratibu za kimataifa zinataka unapobaini hilo unatakiwa kufanya nini na sisi tutimize matakwa hayo karatasi tulilosaini liendelee kuwa karatasi