Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,020
- 103,411
Hao JWTZ wakati wanataka kumpindua Nyerere miaka ya 80 hawakuwa jeshi la wananchi?Watanzania ni watu pisi sana, hatuna watu wa machafuko type.
Jeshi la Tanzania ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania, TPDF or JWTZ, hivyo sio Jeshi la kufanya mapinduzi
Naomba tuu niheshimu mawazo yako.
P
Usichanganye watu peace na waoga, fahamu uoga sio jambo la kudumu. Uoga utafika mwisho tu hasa ukizangatia mabadiliko ya kizazi.