Kuwa Mpole Mkuu, Sisi Biblia Imekataza na ni dhambi kuingiliana kinyume cha Maumbile. Ila Nyie kuingiliana kinyume cha Maumbile mmeruhusiwa. Kama Uislamu unavyoelekeza hapa na imam wenu.
Quran imekataza ngono ya jinsia moja katika visa vya Mtume Lot, na zinafahamika, ndio maana adhabu yao ni kuuwawa.
Hivyo vilemba vinakuhadaa, nani aliekwambia huyo ni imam wetu. As long as maneno ya mtu yanaendana na Quran tutayakubali, otherwise tunamuachia mwenyewe maneno yake.
Reference yetu ni Quran na mafundisho ya Mtume peace be upon him.
sasa hao wachungaji wengine ni mashoga, jee hii inamaanisha ukristo unaruhusu haya. Jibu tunarudi kwenye bible na sio maneno ya mchungaji.PERIOD!!
Last edited by a moderator: