makandokando JF-Expert Member Nov 12, 2010 299 20 Feb 1, 2011 #2 Tunisia ni waarabu, sisi wa bongo....usisahau hiyo hata siku moja....kuwa mbongo kuna maana kubwa sana na tofauti kubwa sana.
Tunisia ni waarabu, sisi wa bongo....usisahau hiyo hata siku moja....kuwa mbongo kuna maana kubwa sana na tofauti kubwa sana.
Kamakabuzi JF-Expert Member Dec 3, 2007 2,861 1,302 Feb 1, 2011 #3 sisi tumejaa ukondoo (eti amani), sisi ni wadanganyika, period.